CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

Suala la maandamano kwa Wa-Tz baaaaado sana...... ongeeni, tukaneni lakini ukweli ndio huo, tunajazana upepo humu lakini ikifika siku yenyewe kila mtu anaamkia kwenye shughuli zake, hata hiyo J3 nawahakikishia maandamano hayafanyiki niko hapa Mwanza
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Nchi inaelekea kubaya ,sababu tu ya wajinga wachache ndani ya ccm , kwa kulinda maslahi binafsi wala sio chama wala taifa.

Majitu yanadhani yanapigania chama na mwenyekiti wao baki madarakani kumbe ndo wamearibu vibaya sana.
Twende mpaka kufika siku 47 mtashangaa asema Bwana
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Kweli warudishe hata mafuvu
 
Hakuna wa kuandamana inchi hii, vijana wenyewe asilimia tisini ni.....

Aahh wacha niishie hapa tu

Upinzani bado sana, labda upinzani wa kutengeneza ili kudanganya ulimwengu na demokrasia feki
 
Naogopa. Viongozi wangu wapime kwa umakini mkubwa madhara yanayoweza kutokea haswa kwa raia wa kawaida.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Mnawapeleka WATOTO watu FRONT kwa manufaa yenu wenyewe.
Nendeni mkipigwa shaba msije kulalamika humu.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Peopleeeeeeeeeeesssssssssss!!!!!
 
Mm siwezi kuandamana ila kuna jamaa ni polisi ana biashara nzuri kwenye fremu yangu nimempiga notice nataka palekebisha kacjanganyikiwa ,ukweli akitoka napafunga tu naapacha.

Ubaya ubwela.
 
Hakika, inafahamika wataua lakini Je wataua wangapi ?
Kuongea rahisi.
Kushiriki tukio jambo lingine kabisa tena la kijasiri.
Nawakubali Dr.Slaa na Mnyika waliokula kipigo kwenye matukio Arusha na Mbeya respectively.
 
Jana nlipiga konyagi wakaja vijana wamevaa zile nguo za maovaloli ya taka asubuhi kama 12 kuwaona nkapiga kelele " nqtekwaaa natekwaaaa " konyagi imeisha ndo najiuliza sa wanitekee nini mtu mwenyewe sina hata kadi ya chama
 
Ukweli ni kuwa chama tawala cha CCM kimekiri kuwa haki ya msingi ya kuishi ambayo ipo kikatiba inabunjwa. Kwa ufupi ni kuwa katibu mkuu wa CCM amekiri kuwa chama chake ambacho kinawajibu wa kulinda uhai wa kila Mtanzania kwa kulisimamia jeshi la Polisi na vyombo vingine vya usalama kimefeli kufanya usimamizi.

Ameenda mbali na kudai kuwa CHADEMA hawawezi kufanya uhalifu wa kupoteza uhai wa Watanganyika kama mzee wetu aliyeuwawa kikatili.

Lakini haya yote Yeye Katibu mkuu wa CCM, Polisi Tz wanatoa kauli zao baada ya CHADEMA kutoa neno kuwa wataandamana tare 23 sept. 23. Kumbe bila tishio la Cdm kuwa CHADEMA wataandamana kutetea haki ya Watanganyika kuishi basi tusinhemsikia Nchimbi akileta danganya toto.
 
Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.

Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.

Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.

Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Sijui niseme nini kuhusu uzito wa maneno yako haya mkuu. Nimebaki tu nikitafuta jina ili niweke kumbukumbu akilini mwangu.
 
Suala la maandamano kwa Wa-Tz baaaaado sana...... ongeeni, tukaneni lakini ukweli ndio huo, tunajazana upepo humu lakini ikifika siku yenyewe kila mtu anaamkia kwenye shughuli zake, hata hiyo J3 nawahakikishia maandamano hayafanyiki niko hapa Mwanza
1000012660.jpg
 
Back
Top Bottom