General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,868
- 2,210
Suala la maandamano kwa Wa-Tz baaaaado sana...... ongeeni, tukaneni lakini ukweli ndio huo, tunajazana upepo humu lakini ikifika siku yenyewe kila mtu anaamkia kwenye shughuli zake, hata hiyo J3 nawahakikishia maandamano hayafanyiki niko hapa Mwanza