CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

Kulia lia nyiny kama watoto mara ooh lisu anatumia dawa hapo munachokoza wenyewe nyuki muking'atwa mutafute huruma kwa wananchi siasa ishawashinda sasa toka mulipoanza.
 
Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.

Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.

Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.

Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Nami nitasafiri kutoka popote nitakapokuwa ili tarehe 23 nishiriki maandamano ya kutetea haki ya msingi ya kuishi.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Safi sana
 
Kulia lia nyiny kama watoto mara ooh lisu anatumia dawa hapo munachokoza wenyewe nyuki muking'atwa mutafute huruma kwa wananchi siasa ishawashinda sasa toka mulipoanza.
WEwe utakuwa mjinga sana. Kuandamana ndiyo siasa yenyewe, kuteka na kuua watu ni ushetani, ni uharamia na ni jinai. Wanaoteka na kuua ndio walioshindwa siasa.
 
Mandamano ya amani ni haki ya kikatiba, lakini pia ni njia mojawpo kuiamsha serikali, pamoja na viongozi waliolala,na kuitangazia dunia uovu unaendelea Tanzania.
 
Hakuna mwana CHADEMA yeyote yule atakaye toa pua yake kuingia barabarani. maandamano yatakuwa Twitter na kuishia huko huko.
Hakuna binadamu wa kweli anayeweza kuunga mkono ushetani wa dola wa kuteka na kuua watu.

Ninyi mashetani endeleeni kufurahia utekaji na mauaji yanayofanywa na serikali kwa wakosoaji wa Serikali, lakini mjue kuwa kuna siku yaja, nanyi mtakuja kuwa wahanga.
 
WEwe utakuwa mjinga sana. Kuandamana ndiyo siasa yenyewe, kuteka na kuua watu ni ushetani, ni uharamia na ni jinai. Wanaoteka na kuua ndio walioshindwa siasa.
Sawa mkuu maadamu mushaamua kujitoa kwaajili ya sisi wajinga hatutaki kuona munakuja kulia hapa mkishatiwa rungu huko 😄😄
 
Umechanganyikiwa dadangu ?!! 😲
Kweli shetani hamshindi mwenyezi Mungu na ndio maana mh.Rais ametoa maelekezo ya uchunguzi na kutafutwa hao hayawani wanaodhuru watanzania wenzetu.....

Papara ya nini na wakati tamko limeshatolewa?!!
Angeanza na uchunguzi wa Lisu kwanza kama anania ya uchunguzi la sivyo hizi ni drama tu, wataenda kumkamta mwehu waseme ameenda kutubu kwa gwajima kuwa yeye ndiye muuaji na mtekaji.
 
Nami nitasafiri kutoka popote nitakapokuwa ili tarehe 23 nishiriki maandamano ya kutetea haki ya msingi ya kuishi.
Natoa wito kwa wote tunaolipenda taifa letu tupaze sauti na kushiriki kuliokoa taifa letu.Bila kujali gharama na umbali tulipo.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.

Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.

Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Na wewe uhudhurie mandamano hayo bibi kizee siyo kubwabwaja tu huku mitandaoni. Mbeya kwenye ulikimbia ukamwacha Sugu nasuguliwa tu mpaka sasa hivi amekuwa kimya siyo ameenda wapi 🤣
 
Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.

Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.

Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.

Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Ukifa safari hii itabidi tumuoe mke sasa!! 🤣🤣 au unasemaje?
 
Sasa wangekaa kimya wangeandamana au hata kufanya mazoezi ya kupasha misuli na kutest Magari ya maji ya kuwasha,Madai yao wanayo dai ni sahihi ila inahasara kubwa kuliko faida. Wangetafuta njia mbadala ambayo ingehusisha watu wachache kuliko, hii.
 
Back
Top Bottom