Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Taifa lipo salama na ndio maana hata wewe upo salama na unapata na muda wa kuandika humu jukwaani .Hawa Mamluki wanadhani wako salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa lipo salama na ndio maana hata wewe upo salama na unapata na muda wa kuandika humu jukwaani .Hawa Mamluki wanadhani wako salama
Unafikiri hao polisi watafanya nini?Kama Mwanaume basi toa pua yako uje uandamane.kwa hakika utakiona cha mtema kuni.
Nami nitasafiri kutoka popote nitakapokuwa ili tarehe 23 nishiriki maandamano ya kutetea haki ya msingi ya kuishi.Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.
Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.
Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.
Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Safi sanaAkizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
WEwe utakuwa mjinga sana. Kuandamana ndiyo siasa yenyewe, kuteka na kuua watu ni ushetani, ni uharamia na ni jinai. Wanaoteka na kuua ndio walioshindwa siasa.Kulia lia nyiny kama watoto mara ooh lisu anatumia dawa hapo munachokoza wenyewe nyuki muking'atwa mutafute huruma kwa wananchi siasa ishawashinda sasa toka mulipoanza.
Hakuna binadamu wa kweli anayeweza kuunga mkono ushetani wa dola wa kuteka na kuua watu.Hakuna mwana CHADEMA yeyote yule atakaye toa pua yake kuingia barabarani. maandamano yatakuwa Twitter na kuishia huko huko.
Sawa mkuu maadamu mushaamua kujitoa kwaajili ya sisi wajinga hatutaki kuona munakuja kulia hapa mkishatiwa rungu huko 😄😄WEwe utakuwa mjinga sana. Kuandamana ndiyo siasa yenyewe, kuteka na kuua watu ni ushetani, ni uharamia na ni jinai. Wanaoteka na kuua ndio walioshindwa siasa.
Angeanza na uchunguzi wa Lisu kwanza kama anania ya uchunguzi la sivyo hizi ni drama tu, wataenda kumkamta mwehu waseme ameenda kutubu kwa gwajima kuwa yeye ndiye muuaji na mtekaji.Umechanganyikiwa dadangu ?!! 😲
Kweli shetani hamshindi mwenyezi Mungu na ndio maana mh.Rais ametoa maelekezo ya uchunguzi na kutafutwa hao hayawani wanaodhuru watanzania wenzetu.....
Papara ya nini na wakati tamko limeshatolewa?!!
Nini Rungu mbona Rungu cha mtoto, Risasi kabisaSawa mkuu maadamu mushaamua kujitoa kwaajili ya sisi wajinga hatutaki kuona munakuja kulia hapa mkishatiwa rungu huko 😄😄
Natoa wito kwa wote tunaolipenda taifa letu tupaze sauti na kushiriki kuliokoa taifa letu.Bila kujali gharama na umbali tulipo.Nami nitasafiri kutoka popote nitakapokuwa ili tarehe 23 nishiriki maandamano ya kutetea haki ya msingi ya kuishi.
Hivi unawaamini Hawa kunguru?yaani wakiandamana hio j3 ...nimekaa paleeeeChadema kweli wamedhamiria....
#Nchi Kwanza😍
Na wewe uhudhurie mandamano hayo bibi kizee siyo kubwabwaja tu huku mitandaoni. Mbeya kwenye ulikimbia ukamwacha Sugu nasuguliwa tu mpaka sasa hivi amekuwa kimya siyo ameenda wapi 🤣Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Ukifa safari hii itabidi tumuoe mke sasa!! 🤣🤣 au unasemaje?Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.
Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.
Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.
Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Siyo lazima waandamane wao hata POLISI wakiandamana ujumbe utakuwa umefika,Hivi unawaamini Hawa kunguru?yaani wakiandamana hio j3 ...nimekaa paleeee
Sasa yanini kutangaza kuwa j3 mtaandamana SI Bora wangekaa kimya tuSiyo lazima waandamane wao hata POLISI wakiandamana ujumbe utakuwa umefika,
Waandamaji wakisha pata madhara Ufipa wanarudi mezani kuwomba mazungumzo kwa njia ya amani!!Mbwembwe za Ufipa st [emoji209]
Sasa wangekaa kimya wangeandamana au hata kufanya mazoezi ya kupasha misuli na kutest Magari ya maji ya kuwashaSasa yanini kutangaza kuwa j3 mtaandamana SI Bora wangekaa kimya tu
Sasa wangekaa kimya wangeandamana au hata kufanya mazoezi ya kupasha misuli na kutest Magari ya maji ya kuwasha,Madai yao wanayo dai ni sahihi ila inahasara kubwa kuliko faida. Wangetafuta njia mbadala ambayo ingehusisha watu wachache kuliko, hii.