Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Watu kama nyie hata wakati wa kupigania uhuru mlikuwepo, mabadiliko na haki ni muhimu kuliko shughuli fake za uchumikama upo tanzania na una akili timamu na utimamu wa mwili kesho jikite na shuhuli za kiuchumi ndugu
si ndio mlisema anafaa kuwa wazir mkuu au rais kwamba watu wenye akili kama lema wapo wachache akili ndio kukimbia nyumba yako uku ugomvi umeuzisha wewe kwanini.ukimbie nyumba yakoLema kashatimkia Canada
serikali inacontrol hadi hilo jambo. ukiona watu wanaandama kubeza sio dili. alafu hapa dar serikali ndo ilipoArusha tunasaka pesa. Hatutaki maandamano.
hatuangaiki ila Icho mnachokitaka hakipatikani ivyoMbona mnahangaika sana na mambo yasiyowahusu?
Mbowe angekuwa anamaanisha hilo angeanzia hizo harakati kwao Kilimanjaro.
Anataka kusimamisha shughuli za watu Dsm then kwao watu waendelee na mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku.
Wadini wakubwa nyie na huyo mwenzako big show, angekuwa Nyerere au Mkapa mngeongea tofauti, akili za stone age ndipo mlipofikiaMwdnyezi Mungu hamfichi mnafik.
Hiyo ndiyo lugha ya amani ya mbege na ganja.
Waangalie wenzao Kenya.Mkuu kwahiyo tumuondoe raisi kisa chadema wanaandamana hawamtaki, sasa nikuulize kuna raisi wa nchi gani ambae wapinzani wake wanataka akae madarakani? Ndio maana tuna katiba inayotaka raisi apatikane kupitia kura za wengi
Tofauti na hapo ni uhuni tu na kuna nchi zinaweza kutolerate huo ujinga sio tanzania ndio maana unaona hadi leo nchi ina amani
Ni kosa kuchukua wanajeshi kuzibiti raianajaribu kuwapa mawazo watu wa arusha ambapo ngome ya chadema ipo ukoo ipo hivi
jeshi la polisi likiona limezidiwa nguvu likaomba msaada JWTZ mmekwisha mtaita maji mma pata picha wakachukuliwa
1 oljoro pamoja na vijana wa jkt?
2 wakachukuliwa TMA pamoja na wanafunzi (offers cadet)
3 wakchukuliwa kv monduli
4 wakachukuliwa makuyuni pamoja na vinaja
wakimwagwa hapo arusha mmekwisha yaani mtatandikwa virungu betle zakutosha mpaka bangi ziwaishe nipo pale naangalia mchezo arusha kambi za jeshi zipo nyingi sana zimetapakaa
af watakao umia ni watu wa hali ya chini
Hahaha,
kwahiyo hapo chuga itakuwa ni kamzozo?
Kutuliza kiuno unashindwa?Taga basi.hatuangaiki ila Icho mnachokitaka hakipatikani ivyo
Polisi wa tanzania hawajahi kushindwa na wahuni tulia kesho uone show shownajaribu kuwapa mawazo watu wa arusha ambapo ngome ya chadema ipo ukoo ipo hivi
jeshi la polisi likiona limezidiwa nguvu likaomba msaada JWTZ mmekwisha mtaita maji mma pata picha wakachukuliwa
1 oljoro pamoja na vijana wa jkt?
2 wakachukuliwa TMA pamoja na wanafunzi (offers cadet)
3 wakchukuliwa kv monduli
4 wakachukuliwa makuyuni pamoja na vinaja
wakimwagwa hapo arusha mmekwisha yaani mtatandikwa virungu betle zakutosha mpaka bangi ziwaishe nipo pale naangalia mchezo arusha kambi za jeshi zipo nyingi sana zimetapakaa
af watakao umia ni watu wa hali ya chini
Ni kosa kuchukua wanajeshi kuzibiti raia
chadema inataka kuleta machafuko na kuzua taharuki pamoja na kuleta adhari kiuchumi kwa vuguvugu la kisiasa hamvumiliki nguduWatu kama nyie hata wakati wa kupigania uhuru mlikuwepo, mabadiliko na haki ni muhimu kuliko shughuli fake za uchumi
Ushavuta 20K
Udini na ujinga ni ndugu zakoWaangalie wenzao Kenya.
Ruto alishikilia bomba kwa wale GenZ kwa kuwa hawakutaka kuwahusisha na wanasiasa.
Sasa hilo la hawa ni kwamba Mimi nikiingia Road ni wazi nishachagua kukaa upande wa Chadema against Dola,so litalonipata ni langu na chadema.
Kuna mtu kakunyima?tunataka amani
Kutuliza kiuno unashindwa?Taga basi.