CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

..wameshatoa ufafanuzi wa kauli ya " Samia Must Go. "

..tatizo la wahafidhina mmeshupaza shingo mnataka kuwapiga.

..Chadema wamesisitiza maandamano ni ya AMANI.
Maandamano Gani ya Amani ya kusema Rais wa Nchi aondoke?
 
Niwaombe wadau wote wenye uzoefu wa gharama za kutibu majeraha yatokanayo na vurugu na vipigo mbalimbali.

1-Kupasuliwa fuvu.....200,000/=
2-Kuvunjwa taya na gongo la kipolisi....100,000(kianzio)
3-Kupasuliwa bandama....200,000/=
4-Kutovugwa ini,kongosho,figo....150,000 halafu dialysis 150,000 kwa wiki
5-Kuvunjwa senta bolt ya kiuno...25000 kianzio
6-Kutobolewa jicho moja....50,000 kianzio
7-Kung'olewa jino....5000
8-Kupasuliwa yai za kende....50,000
9-Kupasuliwa chembe ya moyo...
10-Kuvunjika shingo...
11-Kuteguliwa uti wa mgongo....
12-Kupasuliwa ngoma ya sikio kwa mbata...5000 ya file
13-Kupasuliwa taya na kitako cha bunduki...20,000
14-kutapishwa kisusio...5000
15-Kutoneshwa busha/mshipa...bure
16-Kugeuzwa kisahani cha goti...150,000
17-kutoneshwa /kupasuliwa tezi dume bure
18-Kutobolewa kibofu au puru(rectum) 200,000 kianzio
19-Kuzikwa na manispaa...bure
20-Vipimo vya Xray,CT scan,Ultra sound,MRI, 250,000.

N.B BEI NILIZOWEKA SIO HALISI

hebu tuongeze nyingine na kuweka gharama zake..
Dah Mkuu...

Ngoja Nisome Tena kisha nitakurudia.
 
Mbowe angekuwa anamaanisha hilo angeanzia hizo harakati kwao Kilimanjaro.

Anataka kusimamisha shughuli za watu Dsm then kwao watu waendelee na mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku.
Hutakaa usikie Watu wa Kilimanjaro hasa Moshi mjini wanaandamana...!!!
 
Friends and Our Enemies,

Nimemskia mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akihamasisha wafuasi wake eti kesho wajitokeze kwa wingi kushiriki maandamano ya amani na maombolezo.

Kinachostaajabisha zaidi yeye anasema ni amani na maomboleze kisha hapo hapo anatembea na kauli mbiu ya kusema Samia must go..!

Umeshasema must go,amani itokee wapi hapo?

Na wale ambao ni walinda amani ya nchi hii na mali za watanzania wengine ambao siyo wafuasi wa CHADEMA na ambao siyo wafuasi wa wanasiasa wowote unataka wakae kimya wakuangalie?

Hamasisha wafuasi wako ingieni Road kisha tuone mwisho wake.

Shame on you CHADEMA, before hamjafikia hatua ya kusema.Samia must go,mlipaswa kwanza kuanza slogan hiyo na Freeman Mbowe.

Soma Pia:

Mnataka kuonyesha sharubu kisa Samia mwanamke siyo?yule mwanaume mwenzenu mlifyata mikia mkakimbia nchi .
Mbowe shule ndogo hivyo hana uelewa wa kitu gani anachokusudia kukifanya. Anataka kuwaponza vijana wa mijini na wamemshtukia.

Bodaboda wamesema hawatajihusisha na maandamano yao, hawataki kuvunjwa miguu halafu pesa zinaingizwa kwenye akaunti za Mbowe huko Ulaya.
 
Friends and Our Enemies,

Nimemskia mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akihamasisha wafuasi wake eti kesho wajitokeze kwa wingi kushiriki maandamano ya amani na maombolezo.

Kinachostaajabisha zaidi yeye anasema ni amani na maomboleze kisha hapo hapo anatembea na kauli mbiu ya kusema Samia must go..!

Umeshasema must go,amani itokee wapi hapo?

Na wale ambao ni walinda amani ya nchi hii na mali za watanzania wengine ambao siyo wafuasi wa CHADEMA na ambao siyo wafuasi wa wanasiasa wowote unataka wakae kimya wakuangalie?

Hamasisha wafuasi wako ingieni Road kisha tuone mwisho wake.

Shame on you CHADEMA, before hamjafikia hatua ya kusema.Samia must go,mlipaswa kwanza kuanza slogan hiyo na Freeman Mbowe.

Soma Pia:

Mnataka kuonyesha sharubu kisa Samia mwanamke siyo?yule mwanaume mwenzenu mlifyata mikia mkakimbia nchi .
NI kesho tu tutapata kujua mbivu na mbichi.
 
Mbowe shule ndogo hivyo hana uelewa wa kitu gani anachokusudia kukifanya. Anataka kuwaponza vijana wa mijini na wamemshtukia.

Bodaboda wamesema hawatajihusisha na maandamano yao, hawataki kuvunjwa miguu halafu pesa zinaingizwa kwenye akaunti za Mbowe huko Ulaya.
Siasa zake zimeshapitwa na wakati.

Toka ameanza kupambana na mkapa,kikwete,magufuli na Leo Samia bila shaka hawezi kuwa sawa.
 
Utasema CHADEMA tumeamua kuachia Mtu kama Mdude ndie awe Strategist wetu.

Mimi nitaenda kwenye Maandamano lakini nikiona Bango hata moja la "SAMIA MUST GO!" nageuza zangu na kurejea kwangu Temeke.
Mwamba hutaki tabu
 
Siasa zake zimeshapitwa na wakati.

Toka ameanza kupambana na mkapa,kikwete,magufuli na Leo Samia bila shaka hawezi kuwa sawa.
Wanadhani kila mtu anapenda hizi habari za uanaharakati. Zinawafaidisha wao na familia zao na ni kwa hasara ya maumivu ya wengi.

Mbowe ni fisadi kama hao wengine anaowanyooshea vidole, haipo tofauti kati yake na wao.
 
Wanadhani kila mtu anapenda hizi habari za uanaharakati. Zinawafaidisha wao na familia zao na ni kwa hasara ya maumivu ya wengi.

Mbowe ni fisadi kama hao wengine anaowanyooshea vidole, haipo tofauti kati yake na wao.
Yes,nakubali.

Ushahidi wa hilo wewe kumbuka tuh walivyomdhalilisha Lowasa marehem pale mwembe yanga kwa kumweka kwenye list of shame.

Kisha out of nowhere wanarudi na kumpa kijiti cha kupeperusha bendera ya Urais kupitia chama chao.
 
Remember that you are life is much worth than fighting this battle on behalf of Mangi.
Ni kesho Mungu awalinde watu wake na akawape mkate wao wa kila siku. Mungu ibariki Tanzania(Tanganyika). Wanasababu acha tuwaone hiyo kesho.
 
Marais wote wa nchi hii waliowahi kutumikia nchi walikubali Kila aina ya vimbwanga kufanyiwa lakini hawakuwa tayari kusikia amani na usalama wa nchi ukivurugwa, Rais Samia anaendeleza Yale Yale ya watangulizi, nchi yetu imebarikiwa kuwa na amani na amani ndio tunu yetu.

Mataifa ya nje yanatamani kusikia sisi tunauana na kuumizana ili waweze kufanikiwa kwenye mambo, wanakutumia sana wewe Mbowe, Lissu na wenzako.

We Leo umesambaza clip Kila Kona ukiwataka wanachadema kesho wasirudi nyuma, wabebe maji utadhani unawapa hela ya kununulia maji.

Kesho vijana wa IGP watakufunza adabu wewe na wenzako, siku zote mlikuwa mnaleta utani na kuona mnaogopewa, mnapewa kiburi na Mange Kimambi cjui nani

Ila naamini kesho huna maandamano Wala Nini, kwa Mimi navyofahamu siasa zenu we umetaka kuleta attention TU na kuwapa kazi ya kufanya askari basi lakini huna cha maandamano Wala Nini.

Kama kweli kesho utaandamana na kuingia barabarani nitaamini kweli wewe mwanaume na nitakuja kwenu kupiga deki na kuosha vyombo.Usiku mwema
 
Marais wote wa nchi hii waliowahi kutumikia nchi walikubali Kila aina ya vimbwanga kufanyiwa lakini hawakuwa tayari kusikia amani na usalama wa nchi ukivurugwa, Rais Samia anaendeleza Yale Yale ya watangulizi, nchi yetu imebarikiwa kuwa na amani na amani ndio tunu yetu.

Mataifa ya nje yanatamani kusikia sisi tunauana na kuumizana ili waweze kufanikiwa kwenye mambo, wanakutumia sana wewe Mbowe, Lissu na wenzako.

We Leo umesambaza clip Kila Kona ukiwataka wanachadema kesho wasirudi nyuma, wabebe maji utadhani unawapa hela ya kununulia maji.

Kesho vijana wa IGP watakufunza adabu wewe na wenzako, siku zote mlikuwa mnaleta utani na kuona mnaogopewa, mnapewa kiburi na Mange Kimambi cjui nani

Kesho beba wanao akina James, mkeo na ndugu zako watangulize mbele, hamtauawa lakini kwa namna ninavyowaamini askari wa nchi hii nakuahidi huwezi kukosa ulemavu wa kudumu.

Ila naamini kesho huna maandamano Wala Nini, kwa Mimi navyofahamu siasa zenu we umetaka kuleta attention TU na kuwapa kazi ya kufanya askari basi lakini huna cha maandamano Wala Nini.

Kama kweli kesho utaandamana na kuingia barabarani nitaamini kweli wewe mwanaume na nitakuja kwenu kupiga deki na kuosha vyombo.Usiku mwema
Wanasema ktk katiba maandamano ruhusa. Wewe unasemaje? Sio ruhusa?
 
Back
Top Bottom