CHADEMA, zoezi la kumzuia Rais Samia 2025 likipita na zoezi la katiba litasimama hadi 2035

Tunaye mpango yupo bushungwq tuna profesa kabudi
Bashungwa for what? Hebu tupe hata moja la kufanyia reference.
Huyo Kabudi wa majalalani ndio anaweza kuwa mfano bora? Kweli mmeishiwa! Huyo aliyewadanganya Watanzania kuhusu trilion 470 kisha anakiri kuwa alidanganya taifa?
CCM mhh!
 
Ishu sio uzee ila uho ni ukweli mkuu kwa akili ya kawaida wewe huoni kule upizani wote vichwa vibovu akili ziro
Hamna muafrika mwenye akili bro, vinginevyo tusingeuza bandari zetu leo hii.
 
Waarabu kuwekeza imekua kuamini maendeleo yataletwa na mwarabu!?..wakati wawekezaji wazungu hizo kauli hazikuwepo,utajileteaje maendeleo ikiwa huna uwezo wa kutumia rasilimali zako kwa ufanisi wa juu!?..kuchapa kazi,utachapa kazi wapi ikiwa bajeti yako tu hujitishelezi mpaka ukope na usaidiwe!?
 
Lowasa ni padre mstaafu...elewa unapoambiwa 'genge lake'
 
Blood fucken
 
Walioweka watatoa pia, kila kitu kimepangwa …
 
Sa100 ni [emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
 
KATIBA mpya itapatikana 2026.

Kupatikana Kwa Katiba mpya, Si hisani Kutoka Kwa aliyepo, Bali muda umefika.


Kama miaka miwili anataka auze bandari zote,miaka kumi Si atauza Nchi nzima na watu wake!!!

HATOGOMBEA.
 
CDM , maridhiano na mtu anayeuza bandari za Nchi Yana faida Gani?

Mngeuliza wananchi kwanza!!!
 
Bila ya Katiba mpya vita ya wenyewe kwa wenyewe inanukia.
 
Kuwaza ipo ndio hofu yenyewe. Samia muda wake utapofika ataondoka hawezi kukaa hapo siku zote, Wala msiwe na hofu na kujitoa fahamu
Siyo hofu,elewa maana ya hofu na kujua kawaida ya mambo
 
Siyo hofu,elewa maana ya hofu na kujua kawaida ya mambo
Ni hofu, ukiwa huna hofu huwezi kuwaza sijui kuna gemge la fulani linataka kuja kunitoa. Alfu yeye mwenyewe nina uhakika 100% hana hiyo hofu, hofu ipo kwa nyie wapambe
 
Ni hofu, ukiwa huna hofu huwezi kuwaza sijui kuna gemge la fulani linataka kuja kunitoa. Alfu yeye mwenyewe nina uhakika 100% hana hiyo hofu, hofu ipo kwa nyie wapambe
Unatamani kuhofiwa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…