Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

Joined
Jun 3, 2024
Posts
11
Reaction score
13
Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo.

Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua.

KARIBUNI.
WHATSAPP: 0755325977
255a1602dbcae5a7acd65c72fdca0049.jpg

b1f7b2d6c82c5ea24a3a3c0f76cb7ad0.jpg

94b72f9ef22e4afb65c8be90172ce948.jpg
 

Attachments

  • 94b72f9ef22e4afb65c8be90172ce948.jpg
    94b72f9ef22e4afb65c8be90172ce948.jpg
    145 KB · Views: 18
chumba na sebule kiwe na jiko ndani, kibaraza cha kupumzikia mfumo mzuri wa kukinga maji mvua ikinyesha

nataka pia iwe nzuri kiasi mvua ikinyesha maji yasiwe yanafika mlangoni moja kwa mojasawa

chumba na sebule kiwe na jiko ndani, kibaraza cha kupumzikia mfumo mzuri wa kukinga maji mvua ikinyesha

nataka pia iwe nzuri kiasi mvua ikinyesha maji yasiwe yanafika mlangoni moja kwa moja
Sawa mkuu.

Chumba cha kulala kimoja tu?
Store je?
Kibaraza cha jiko?
 
2 bedrooms
Dining
Kitchen
Store/Utility

Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo.

Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua.

KARIBUNI.
WHATSAPP: 0755325977
 

Attachments

  • FunPic_20240604_083156667.jpg
    FunPic_20240604_083156667.jpg
    462.7 KB · Views: 36
a1786a0c06bd9cc39a2c5c519fc3326e.jpg

b715da754c0044053e3d46f7d1bb6cd3.jpg

d238e7b8e40ada1230960e1c8b054ed9.jpg

Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo.

Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua.

KARIBUNI.
WHATSAPP: 0755325977
 
Kwa mfano hyo nyumba hadi kukamilika inaweza chezea shingap kila kitu mm ni funguo tu unikabidhi
 
Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo.

Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua.

KARIBUNI.
WHATSAPP: 0755325977
View attachment 3007760
View attachment 3007762
View attachment 3007766
Hivi unaweza jenga nyumba ya vyumba 2 chini ya milioni moja shambani Bagamoyo? Na kama inawezekana, inafananaje hiyo nyumba?
 
Back
Top Bottom