Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #301
Albino mweusi😂😂Kula ujana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Albino mweusi😂😂Kula ujana
Before sambusa 2 was enough kwangu nikila sana 3. Ila juzi kati nimekula 9 and sikuwa full eti yaani ni huzuni[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]. Hizo za viazi sasa hivi nikizipata basi naweza kula deli zimaDada haukumaliza kale ka deli[emoji23][emoji23]
shaaayoooo😂Dj mlete burna boy was mchongo mshamba_hachekwi
Nimecheka kifala 😂😂😂 9, unataka uote kitambi Kama pipa😂😂🤔Before sambusa 2 was enough kwangu nikila sana 3. Ila juzi kati nimekula 9 and sikuwa full eti yaani ni huzuni[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]. Hizo za viazi sasa hivi nikizipata basi naweza kula deli zima
Shekpeee mshamba_hachekwishaaayoooo😂
hii hatari naonaga tu kwa wanawake waliojifungua 😂Before sambusa 2 was enough kwangu nikila sana 3. Ila juzi kati nimekula 9 and sikuwa full eti yaani ni huzuni[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]. Hizo za viazi sasa hivi nikizipata basi naweza kula deli zima
anabadilisha madogo nepi😂Gily ma English uko wapi??🤔
Siku hizi napata njaa sana nakula balaa, ila cha ajabu nazidi kupungua mwili ulaji wangu unamfaidisha mwingine[emoji3][emoji3]. Usiku bila kunywa chai au juice na bites saa 8 na saa 10 usiku sitoboi kabisa.Nimecheka kifala [emoji23][emoji23][emoji23] 9, unataka uote kitambi Kama pipa[emoji23][emoji23][emoji848]
Nipo kwenye kipindi hiki mkuu. Ni experience mpya kabisa kwangu. Mpaka najiogopahii hatari naonaga tu kwa wanawake waliojifungua [emoji23]
hamna namna... ndo asili....Nipo kwenye kipindi hiki mkuu. Ni experience mpya kabisa kwangu. Mpaka najiogopa
Neo majukumu mpendwa, hope one day nami 🤗😜Si inajua sasa hivi nalala kwa ratiba ya boss wangu. Akiamka lazima na mimi niamke kumhudumia halafu ndio kimetoa macho saa hizi kama saa 6 mchana
we si ulisema unakufa bikra 😂Neo majukumu mpendwa, hope one day nami 🤗😜
Nina mtoto 1😂😂, though sio wangu ila ndo majukumu. Kana jiita Eti ni ka mama yangu😂😂we si ulisema unakufa bikra 😂
Inshallah God is good and his timing is the best...Neo majukumu mpendwa, hope one day nami [emoji847][emoji12]
naskia ni mbaya 😂Nipo naangalia prison break season 2 mshamba_hachekwi