naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Ila ule ukoko sio mweusi yaani uungue wastaniAisee nimecheka kifala 😂😂, ko kila Mara tuunguze ubwabwa ehh😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani dada hapo unakua roho kwatuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kabisa Dogo...
Uzipike na Nyama ya Salala,Nundu au Jembe....Ni utajilambaaaa....
Njoo nikupikie mie [emoji23][emoji23][emoji23]Duh vibama umenikumbusha mbali, sijui hata km naweza vipika Tena Sasahivi
Ila hasa sana Songea ndo vinatengenezwa mno.Yani vidudee acha tuu...mbeya ndo huwa vipoo
Unatumia unga wa muhogo, ndo vinatoka vizuri.Ndizi mbivu zilizoiva Sanaa,unakanda km ngano ila hapa unatumia unga wa sembe tu, inakuwa ngumu kiasi,then unatumia mikono kutengeneza km chapati ,unakaanga na mafuta
Aisee ni vitamuuu[emoji39][emoji28]
Kumbe unavijua jmn coca😅😋Njoo nikupikie mie [emoji23][emoji23][emoji23]
VibamandaHivyo Vibamaaa ni Vibambara Riki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Songea kwetu ndo vinatengenezwa balaaaa, mie mbna napikagaa nikiamuaa.Kumbe unavijua jmn coca[emoji28][emoji39]
Duh na mi ngoja nitafute ndizi ...Unatumia unga wa muhogo, ndo vinatoka vizuri.
Vile unatumia bapa LA mkono kutengeneza umboo.
Kesho jioni ntapikaaa
Hata iringa na tunaita vibama hivyo hivyo 😅Ila hasa sana Songea ndo vinatengenezwa mno.
Mie ndo nakusikia wee hapa kuwa mnatumia unga wa Sembe, sisi kwetu tunatumia unga wa muhogo na ndizi Yale yanakua malaini, aina fulani manene mafupi, tunaita mandoroma.Duh na mi ngoja nitafute ndizi ...
Hahaa sie tulikuwa tunatumia sembe
Sema hii ya unga wa mihogo nitajaribu
Kwa kule kwetu bado wanapika mnooo.Hata iringa na tunaita vibama hivyo hivyo [emoji28]
Ila kitambo sn sijui watt wa sikuhizi sijui vipi,hata hawajui haya mambo
Hata mi muhogo ndo nasikia kwako,nitajaribu kwakweli nahisi itakua tamuuu.Mie ndo nakusikia wee hapa kuwa mnatumia unga wa Sembe, sisi kwetu tunatumia unga wa muhogo na ndizi Yale yanakua malaini, aina fulani manene mafupi, tunaita mandoroma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa mama mtumishii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mi muhogo ndo nasikia kwako,nitajaribu kwakweli nahisi itakua tamuuu.
Yes sir tunatumia ndizi zozozte ilimradi siwezi zimeiva sana ,zimeorojeka[emoji28][emoji28]
Asante mkuu
Chapati aisee, nishazuiliwa kula sababu ya gluten ila huwa najiiba mara chache but baada ya nusu saa huwa nipo mahututi, siwezi kufanya chochote zaidi ya kulala tuWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Flutten ndo nini mkuu??, Au una shida kwenye utumbo🤔🤔Chapati aisee, nishazuiliwa kula sababu ya gluten ila huwa najiiba mara chache but baada ya nusu saa huwa nipo mahututi, siwezi kufanya chochote zaidi ya kulala tu