Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dagaa wa kuchemsha??, Rosti au kukaanga🤔Ugali wa mahindi na udaga(unga wa muogo) + dagaa
Parachichi nakubali, ila makande yame nishindaMakande + Parachichi.
Au una aleji nayo🤔Ugali wa muhogo na migebuka haijalishi mikavu au mibichi,napenda sana,nimewahi kufululiza hadi midomo ilibabuka.
Labda,maana nilienda ziwa Tanganyika,nikafululiza kula ugali,wali na migebuka au mvolo wanaita,ulimi hadi ukachubuka,ila nilivyotoka kule,na samaki hao wakawa adimu,ulimi ulirudi kwenye hali yake nzuri.Au una aleji nayo🤔
Ndio sababu🤔😁😁Labda,maana nilienda ziwa Tanganyika,nikafululiza kula ugali,wali na migebuka au mvolo wanaita,ulimi hadi ukachubuka,ila nilivyotoka kule,na samaki hao wakawa adimu,ulimi ulirudi kwenye hali yake nzuri.
Dah umenikumbusha kisamvu Cha karanga😍Wali kisamvu vya nazi kwa chuchunge wa kulumangia [emoji108]
Kukaanga au rosti.Dagaa wa kuchemsha??, Rosti au kukaanga🤔
Sasa mkuu, ugenini SI utakufa kwa presha😂😂😂Dagaa maana miye kula ugali / tonge bila mboga siwezi. Yaani ugali na mchuzi au maharage uwiiii nafaaa.
Sawa mkuu, tuendeleze mapambano ya kuwa mabilionea💪Kukaanga au rosti.
Ugenini nikilala au/ maana miye sifikii kwa watu ntalala guest hapo ntaenda kutembelea tuu. Pia km huyo mtu ni ndugu/ jamaa yangu lazima anipikie wali sisi kabila yetu ugali siyo chakula ya kumpa mgeni aliyekutembea tena kwa taarifa mkuu.Sasa mkuu, ugenini SI utakufa kwa presha😂😂😂
Dah man sheria kali mkuuuUgenini nikilala au/ maana miye sifikii kwa watu ntalala guest hapo ntaenda kutembelea tuu. Pia km huyo mtu ni ndugu/ jamaa yangu lazima anipikie wali sisi kabila yetu ugali siyo chakula ya kumpa mgeni aliyekutembea tena kwa taarifa mkuu.
Hayo mambo ya kulala lala kwa mtu kwa ajili ya kuasave sitaki.Dah man sheria kali mkuuu
Vp hal yako mkuuAmina