Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #401
Ni kitamh hatarii mzeeeNgoja kesho Mama Manka anipikie nione jinsi kilivyo hiki chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitamh hatarii mzeeeNgoja kesho Mama Manka anipikie nione jinsi kilivyo hiki chakula
National Anthem njoo uone kunguru hii😂🤣🤣🤣Kwani dagaa ni chakula cha binadamu? Mbona huku kwetu ni mwendo wa migebuka ya kuchomà na kivunde tu, hao dagaa tunalishia kuku na mbwa tu.
Ndo Ina andaliwa jikoni mzee😂🤣🤣, hi kitu siachi kabisa💪Wali na ndondo(maharagwe)&chapatti maharagwe!!
Hiyo kachumbari ni 🔥🔥Samaki kiepeView attachment 2690955
Mchuzi kidogo tu😁, ili rosti ionekane💪Ugali nyama
Ila we mjomba Ina ujasiri wa kiwaki Sana🤣😂😂Kwani dagaa ni chakula cha binadamu? Mbona huku kwetu ni mwendo wa migebuka ya kuchomà na kivunde tu, hao dagaa tunalishia kuku na mbwa tu.
Nikivitaja tu hapa tayari nitakua nimesha jitambulisha na watu mtajua kuwa kumbe mimi ndiye PakiJinja.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Sasa mtu akujue kisa ugali dagaa mzee😁😂Nikivitaja tu hapa tayari nitakua nimesha jitambulisha na watu mtajua kuwa kumbe mimi ndiye PakiJinja.
Ila mjua tu kwamba, mimi vyakula hivyo kamwe siwezi kuviacha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] heshima yako kakaSasa mtu akujue kisa ugali dagaa mzee[emoji16][emoji23]
Karanga mbichiWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
kwa chikanda hapo utakuwa mfipa weweMlenda, Dagaa, Mihogo ya kwenye Magenge na Ile kitu wanaita Chikanda.
USI sahau na baimia😋😋😋, ili tuteleze viZuri😁Karanga mbichi
🤣🤣🤣🤣Afu naumwa kweli....ivo acha masihara🤒USI sahau na baimia😋😋😋, ili tuteleze viZuri😁
Jamani SI ndo tuna fanya mazoezi ya kunyoosha viungo😋😋🤣🤣🤣🤣Afu naumwa kweli....ivo acha masihara🤒
Uko mbali bhana,mi nataka kukunwa kiukweli kweli😥Jamani SI ndo tuna fanya mazoezi ya kunyoosha viungo😋😋
Hebu tuma location chapu, tuje tu uane😋😋Uko mbali bhana,mi nataka kukunwa kiukweli kweli😥
🤣🤣🤣Umekuwa mjanja kweli aisee🤭Hebu tuma location chapu, tuje tu uane😋😋
Sema una ogopa, iam gonna lick that thing😋😋🤣🤣🤣Umekuwa mjanja kweli aisee🤭
Hamuaminiki nyie, nyuzi nyingine ni kama nyavu za kuvulia samaki. Mtu akijichanganya tu kanaswa.Sasa mtu akujue kisa ugali dagaa mzee😁😂