Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

Hamuaminiki nyie, nyuzi nyingine ni kama nyavu za kuvulia samaki. Mtu akijichanganya tu kanaswa.
Leo chakula, kesho kinywaji, keshokutwa aina ya dem, then mwanamuziki, aina ya muziki, maeneo ya kulia bata...hapo population ni circle vinazidi kupunguzwa, kumbe kuna mtu anafuatiliwa😃.
Ataulizwa hali ya hewa huko alipo, ataulizwa nyuzi joto, akija kustuka kitambo tu ameshazungukwa😃
Ume nikumbusha kitabu Cha mafian circle😁😁😂, sema mi ni jobless tu mkuu😁
 
Mkuu Mbona una tufokea ma jobless😁, hatuna uhuru wa kusocialize😁😂
Askari wa Kirumi enzi zile walikua kamsemo kao fulani amazing sana, walikua wanasema hivi "Askari haulizi sababu", yaani akiagizwa ni kutekeleza, iwe dhidi ya mtoto wake, wazazi wake au yeyote yule na ilikua ni mwiko na uhaini kwa askari kutotekeleza amri. Hivyo basi, mpango wowote ule kabla haujamfikia Askari akautekeleze, ilipaswa uandaliwe kwa siri sana. Ilitakiwa mpango uandaliwe kwa siri sababu namna pekee ya Askari kuipinga amri hiyo, ilikua huyo Askari akisikia tu kuna amri dhidi ya watu wake wa karibu ataagizwa akaitekeleze, basi huyo Askari kitu cha kufanya ilikua ni kumuwahi kumuua mtoa amri kabla hajatoa amri.

US, katika mafunzo ya ya Special Forces, ili waweze kukusoma vizuri, ili kuzuia usi compromise mambo mafunzoni, wao wana msemo unasema "A Soldier is hired to act, not to think", hivyo basi, unapopewa maelekezo unatakiwa kupokea tu, na siyo habari za "I think" or "I suggest"😄.

Sasa watu wa aina hiyo unawezaje ukajiruhusu ku socialise nao?
Ila kwa kuwa sisi wengine ni zaidi ya Carlos The Jackal huwa tunakula Honey Pots bila ya wasiwasi, siyo Carlos The Jackal wenu wa JF
 
Wifi wa kidijitali siku hizi wanawake kusapotiana, kama ana taarifa chap mimi nakupa kadada ka kiarabu hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fanya hivyo Sasa, Kuna sehemu nili pigwa chini😂🤣🤣😂, ila nitarudi 🤒
 
Back
Top Bottom