Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #461
Hii kitu ni hatari🤒dona dagaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu ni hatari🤒dona dagaa
Mdogo wangu yupi??, Mbona una spit shit🙄Dona mandondo mzee hii kitu bora useme nimuache mdogo wako😂😂😂
Acha wasi wasi chief kua huru😂Mdogo wangu yupi??, Mbona una spit shit🙄
Sija wahi kuwa na wasiwasi, au ndo yule mabusu😀🙄Acha wasi wasi chief kua huru😂
😂😂😂😂😂Weeeeeeh nani kasema tope anataka akaruke naloSija wahi kuwa na wasiwasi, au ndo yule mabusu😀🙄
Ndo yeye ehh😆🙄, au tume kosea jina??😂😂😂😂😂Weeeeeeh nani kasema tope anataka akaruke nalo
Aaaaaauh apo hamna chief😆Ndo yeye ehh😆🙄, au tume kosea jina??
Noma sana 🤣Kula kucha
Kenge majii🤣😆Kula kucha
🤣🤣Kula kucha
Mkono ule ule wa kujiburudishia nyeto ndio unatafuna kucha zake?Kula kucha
muhindi wa kuchoma, mlaini kidogo ivi.Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
ugal mlendaWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
ugali wa mtama ,dagaa na maziwa mtindiWanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
hahaha, kucha mikono yote miwiliMkono ule ule wa kujiburudishia nyeto ndio unatafuna kucha zake?
Sana tu.Majani ya maharage yanaliwa mkuu?
Ya maboga najua