Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnachopewa ni unbalanced diet, ni bora tumbo lijae. Mahoteli makubwa unapewa balanced diet ili kila kona ya mwili wako ifikiwe na necessary nutrients.Lakini vinatutoa shavu mkuu Tena unapimiwa mzigo wakutosha Mboga Kama zoote yaani tunafaidi Sana
Ila ukienda kwenye hotel zenye hadhi msosi unapewa Kama umeomba Tena ukute hakijaiva vzr na wananyodo Sana wahudumu wahiyo mihotel
Chakula siyo kushiba mkuu, ndiyo maana watu wanatoka vitambi vya hovyo. Chakula ni balanced diet! Kuhakikisha mwili umepata all ingredientsHotelini 8000 hushibi
Mboga saba 1500 unashiba na chakula fresh.
Nb wanaokulaga mahotelini wanapatwa na maradhi mbalimbali.
Sisi wa kwamboga saba hutukuti
Nani mjanja,peleka tai yako hotelini
TBS wapoChapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango
We hujui utamu wa misosi ya mama ntilie weweSina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwaajili ya maskini.
Mabenchi machafu
Viti vimevunjika
Meza chafu, inzi wakutosha
Msosi sometimes unanuka moshi
Wahudumu wachafu
Customer care iko chini.
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Mkuu dalili mojawapo ya mwili kulizika nikutoka shavu sasa hicho unachokiita unbalance diet ndicho kinawatoa shavuMnachopewa ni unbalanced diet, ni bora tumbo lijae. Mahoteli makubwa unapewa balanced diet ili kila kona ya mwili wako ifikiwe na necessary nutrients.
Haaaaaa Dada zake Ndugai,Mama Ntilie nao wako na classes zao..mimi kuna baadhi ya mama Ntilie huwezi kunilisha chakula chao asee hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.
Masikini hana uwezo wa kununua chakula kwa mama ntilie.
MAMA NA BABA LISHE NI WATAMU, VYAKULA VYAO NI VITAMU HAKUNA MFANO.Sina mengi wakuu nawasalimu.
Hii misosi ya mama nitilie ni kwaajili ya maskini.
Mabenchi machafu
Viti vimevunjika
Meza chafu, inzi wakutosha
Msosi sometimes unanuka moshi
Wahudumu wachafu
Customer care iko chini.
Kula kwa mama nitilie ni umaskini au labda ukumbwe na dharuura.
Mchele wanapika ule wa 1100/-(wa bei ya mwisho)
Nyanya wanatumia yale masalo wanayouza mateja.
Chapati au maandazi ya mama nitilie viko chini ya kiwango.
Kutoka shavu ni dalili ya ugonjwa pia, why utoke shavu?Mkuu dalili mojawapo ya mwili kulizika nikutoka shavu sasa hicho unachokiita unbalance diet ndicho kinawatoa shavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hasa mama Ntilie wa Dodoma ni wachafu hatari.