mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Juice ya miwa kidogo nitapike sijarudia. Mlenda ndo umenikuza.Mimi juice ya miwa na mlenda ivyo vitu siwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juice ya miwa kidogo nitapike sijarudia. Mlenda ndo umenikuza.Mimi juice ya miwa na mlenda ivyo vitu siwezi
Nimekaa sana kipande hiyo, hiyo kitu ilinishinda kabisa. Rangi yake halafu ipikwe kienyeji acha.Nilikulaga michembe simiyu sina hamu nahicho chakula aisee.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Nilikunywa supu ya pweza 2012 ila ghafla kichwa kikaanza kuuma, mwili unaisha nguvu, tumbo linaunguruma, jasho linanitoka na kuanza kutapika,
Mpaka leo nikimuona pweza napita kushoto.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]supu ya pweza nilitia kijiko ki1 tuu mdomoni hali iliyonipata hd leo nikiona sehem inapikwa napita mbali kbs....
Ulihisi unakula gololi?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Choroko nilipata shida sana kuzimeza na nilikua ugenini
Pizza nzuri ni ya uyoga!.Mlenda na broccoli
Et ntoe hela ninunue burger au pizaa Hapana
Chps yai hata efu 10
Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Kumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.
Hahahahaha..ww na mimi hatuna utofautiKumbikumbi nilionja mmoja tu nikahisi nakula mende.