Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kabichi na wali nakula na na enjoy kabisa.Kula kabichi na wali tu achana na hivyo vikorombwezo vingne uone cha mtema kuni"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabichi na wali nakula na na enjoy kabisa.Kula kabichi na wali tu achana na hivyo vikorombwezo vingne uone cha mtema kuni"
Kabichi ni kachumbali tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kabichi ni tamu sana basi tu wengi hawajui kupika.
Nilikua nachukia Kabichi ila sasa natamani kila leo nilile.
Kabichi + wali nazi +maharage nazi + nyama ya kukaanga. Weeeeeee
Daaa sa itakuwa na ugali au wali?Atakuwa ameona hiyo.
Jadilini uwe unampa huo mchanganyo.
Poleni aiseee. Hapa nishatamani ni vile sokoni mbaliKabichi ni kachumbali tu.
Lakini mboga mhhh
Daaaa labda nije unipikiePoleni aiseee. Hapa nishatamani ni vile sokoni mbali
Ushabadilisha ID? Yan wewe 😂[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Hahaha pole sana ila itakuwa hujakutana na kabichi iliyopikwa ikapikika.Kabichi...nafa hapo hapo
Njugumawe wakati nakuwa kama imepikwa ilikuwa nakula basi tu ili nisife ila sahivi naichakata vibaya mno. (Njugu mawe kwa ubwabwa)NJUGUMAWE
Hii mboga hunilishi hata iweje.
Unakulaga nini wakishua???? Pizza burger nini...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mabiringanya = Hayamezeki
Kabichi=Inanuka
Tambi= Huu uchafu mtu asije kuniletea tutakosana.
Ndizi=Hazina ladha kabisa.
Utumbo me mwenyewe sili. Wauza butcher wa Arusha wana ustaarabu m'baya sana, ukinunua nyama wanamix na utumbo eti. Me nawaambiaga ni heri uniwekee kilo pungufu kuliko kunichanganyia na hayo mautopoloUtumbo na kabichi hvi vyakula vinikalie mbali...
N:B
Nyama ale nani mie nile utumbo +!!+
Beef LasagnaBeef lasagne ni utopolo.
Chicken pizza ni takataka!
Wali maharage best food ever
Kwani utumbo sio nyama?Utumbo me mwenyewe sili. Wauza butcher wa Arusha wana ustaarabu m'baya sana, ukinunua nyama wanamix na utumbo eti. Me nawaambiaga ni heri uniwekee kilo pungufu kuliko kunichanganyia na hayo mautopolo
Jinsia yako tafadhali? Ndizi haina ladha!!! Tambi pia, hii kaliMabiringanya = Hayamezeki
Kabichi=Inanuka
Tambi= Huu uchafu mtu asije kuniletea tutakosana.
Ndizi=Hazina ladha kabisa.
Sio aisee na ndiyo maana ukaitwa utumboKwani utumbo sio nyama?