Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Toka hapa ndio maana huna seraIla mie naomba kuuliza...bialogia wanasema binadamu anaweza kuishi mpaka 40 days bila kula. Sasa kwa nini tunakula daily sii matumizi mabaya ya resources tuwe tunafunga kama siku tano kwa wiki
Na vidonda vya tumbo unamuachia naniKama vitu vya muhimu like mkaa, unga, mchele, mafuta, sukari....vipo ndani, si unainjika maharage tu mnayala mchana kwa ugali na usiku kwa wali na tikiti maji la jero!
Ama ugali dagaa mchana, usiku unaongezea tembele au mchicha wa 500 mnakula tena ugali na vidagaa vilivyobaki mchana.
Life goes on!
Kuna watu wananiambia ni hesabu za PDF. Wenye familia wananielewaMaisha yamekuwa ghali sana ndo maana nimeshangaa jana natoa mpaka 45,000 lakin bado haimaliz mahitaj na bado naombwa 20,000 hadi nimeamua kuondoka na kuwapa ahadi ya kuwatumia
Gharama zimepanda maradufuHii nchi kwa sasa haina tofauti na kuku aliyekatwa kichwa na kuachwa atembee mwenyewe.
Mkuu usijali sana maana death is a necessary end.Naona familia nzima unaitafutia ugonjwa wa sukari kwa udi na uvumba.
Siwakatazi ila wajipangeKwaiyo unataka uwakataze kuanzisha familia kwa maana huko mbeleni maisha ndo yatakuwa yabei rahis?
Ukiwa peke yako unaweza kuamua kunywa maji ya kiroba ya 200 Siku ikapita ila ukiwa na familia huna ujanjanikipika
mihogo 3 300
chinese fungu 1 500
kitunguu 100 limao 100 pilipili 100 mafuta kipimo cha 500 mchele nusu 1300 (nakula mchana jioni na kesho asbh kiporo)
inabaki mia naweza nikanunua hata barafu au dawa ya mbu ya kuchoma
mboga ya pili viazi vya 500 napika roast la viazi as mboga
Silk nyama kula Siku ila nakula walau mara 3 kwa wiki na tunakoelekea nitapunguza iwe mara 1 kwa wiki.Sema siku ukiamua kula unachotaka na si kusema unatumia 30,000 kwa kila siku.
Ipo hivi maisha ya watanzania wengi tunakula kile tunachokipata na siyo kile tunachokitaka.
Huko maisha rahisiMara ya kwanza nafika Tanga nilishanga sana vyakula bei chin sana even kwa mama ntilie
Nilienda sehem moja wanauza ugali 500 na mboja majani hahaha hii mwaka jana mwenz wa kumi
supu hadi ya 500 ipo π mi nahis ukisha zoea maisha ya dar mikoan utaona wanaenjoy san
Nashukuru mkuu, wenye familia wananielwa.Upo sahihi, sisi tupo wawili
mara nyingi 15k inakatika per day
Mafuta, nyanya, vitunguu, chumvi, hoho, carrots kwa pamoja mkuuKununua chakula in bulk kunasaidia kusave pesa na matumizi yake ,Hayo Mafuta ya elfu 5 mnakunywa Au mnajipaka
Vijamaa vikiamka tu vinaelekea mezani kama mchwaIla mie naomba kuuliza...bialogia wanasema binadamu anaweza kuishi mpaka 40 days bila kula. Sasa kwa nini tunakula daily sii matumizi mabaya ya resources tuwe tunafunga kama siku tano kwa wiki
ππππivo yaanKula kwa urefu wa kamba yako...sasa kamba yako inafikia maharagwe na mboga mboga ww unaivuta mpk kwny maini itakatika
πππππVijamaa vikiamka tu vinaelekea mezani kama mchwa
Inategemea na maeneo unayoishiTufanye familia ya mke na mume tu
Mchanganuo wa hiyo 3000 unakuaje kuanzia asubuhi hadi usiku?
Ikikatika si ndio atakuwa huru kula anachokitaka. Kwa sasa kamba inambanabanaKula kwa urefu wa kamba yako...sasa kamba yako inafikia maharagwe na mboga mboga ww unaivuta mpk kwny maini itakatika