Duh!sisi huku kwetu kijijini zaidi ya kutafuta tu hela ya kusaga mahindi mashineni
hakuna gharama yeyote zaidi ya kupambana na jembe wakati wa Masika unahifadhi mazao yako ndani msimu mzima mpk unavuna mazao mengine
asubuhi ugali , mchana Kande,usiku Kande maisha inasonga
Michele uko hadi 3500 kwa kilo"Michele kilo 2, 6000"! Mkeo anakuibia rudi darasani.
MI sjakuelewaKuna watu wananiambia ni hesabu za PDF. Wenye familia wananielewa
Watu wengi wanakula bar na kuacha familia zikila vyakula vya kuunga unga hiyo pesa kwenye vyakula sasa hivi pana vitu vitapungua ukitaka upate vitu sahihi..Watu wanasema Michele kilo 2 nyiñgi, haya hata ukiondoaa kilo moja ibaki moja umepunguza elfu 3 ambayo inanunua nanasi moja, elfu 30 imeisha
Mnaishije huko Arusha naskiaga hili kuwa maisha ghali!Je laki moja per day njoo Arusha utahama tu
Uzi wa kutishiana maisha huu, ngoja niishie hapa hapaJe laki moja per day njoo Arusha utahama tu
Ndio ni ghaliMnaishije huko Arusha naskiaga hili kuwa maisha ghali!
Haya sawaHuo ndo ukwel arusha vyakula vya kununua sio bei kama unavyo aminisha watu .labda hotel za mjini ila kama una pika kama mtoa mada sio gharama .
me nmekaa arusha more than 5 years [emoji81][emoji81]amna nyanya ya 500? Be serious unique
😂Kwamba familia ya watoto wawili (watu 4) mnakula kilo mbili?
Ipo siku utajua ujuiMimi nampa mkewangu 10000 nikirudi jioni nakuta kila kitu
KivipiIpo siku utajua ujui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.Kula kwa urefu wa kamba yako...sasa kamba yako inafikia maharagwe na mboga mboga ww unaivuta mpk kwny maini itakatika
Tafuta hela ndulele weweMaisha yanazidi kuwa magumu ukiwa na familia ya watoto wawili ukitaka kula nyama uwe na sio chini ya elfu 30.
Nyama kilo 10000
Michele kilo 2, 6000
Mkaa 5000
Nyanya, vitunguu, carrot, mafuta 5000
Chai asubuhi 5000.
Hapo hujaweka tunda lolote.
Vijana mjipange kabla ya kuamua kuanzisha familia
Mbwembwe tuu za ujana mkuu.Oya nipo nje kidogo ya mada ila hiyo username yako ni yakipekee
Muda mwingine maisha Ni wewe mwenyewe na bajeti zako najua kila mkoa una sehemu za kuishi cheap.Hata mwanza samaki ni bei rahisi mf. Mara ukiitisha maini unapewa steki robo,na maini robo hadi raha