Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Nchi Ya Hovyo Alitakiwa Kufutwa Kazi ChapAnaanzaje kazi bila kuapishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi Ya Hovyo Alitakiwa Kufutwa Kazi ChapAnaanzaje kazi bila kuapishwa
Pedesheee makala bora abadilishe Mganga wake, si kwa kimavi hiko! Niliona kwenye taarifa ya habari,hadi nikacheka mwenyewe!!Ila pedeshee Makala ana kimavi siyo cha dunia hii,katoka kwenye mgomo wa wafanyabiashara kaenda kwenye mgomo wa daladala kudadadadeq
Kumbe ni anee hahahaaaa sema RC alitakiwa awepo kwenye tuzo za musicAnee naisogola,SAFWA language😆😆😆
Huyo ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa DSM,hapo full ulinzi,usiwe na shaka Kijana!!Mbona hajavaa helmet?,anakuja kufanya kazi kisheria wakati ameshavunja sheria tayari
Sound as police state!,means yeye yupo above traffic laws!,Tanzania nchi ya vituko sana, kesho RC akitoa tamko la kuvaa helmet akiwa ignored ajue yeye ndiye aliyeanza kunajisi sheriaHuyo ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa DSM,hapo full ulinzi,usiwe na shaka Kijana!!
Kupanda bajij ndiyo sifa?Hakika upele umepata mkunaaji. Huyo jamaa kwa kupenda tu misifa, mtampenda.
Huyo ndiyo Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa wa DSM,hapo full ulinzi,usiwe na shaka Kijana!!
Na anafunga MagoliMorrison annakije wao ndio Kwanzaa wanampa namba.
Kumbe bajaj inabidi tupande tukiwa na helmet?Mbona hajavaa helmet?,anakuja kufanya kazi kisheria wakati ameshavunja sheria tayari
Duh ukipanda Bajaji lazima uvae helmet?? Kweli Mkuu wewe ni "wakishua"RC akitoa tamko la kuvaa helmet akiwa ignored ajue yeye ndiye aliyeanza kunajisi sheria
Mwalimu wangu habari za Siku nyingi.Je umeelewa ulichojibu? Kwa hiyo kwa wadhifa wake anaruhusiwa kuvunja sheria?
Acha kukariri zama zinabadilika sana..Haijalishi ni ya nani bali tambua usafiri wowote wa kawaida ikitokea kiongozi anatakiwa autumie ima ni wa mtu aliye ndani ya mfumo asiyetambuliwa na wanaomzunguka ama unamilikiwa na Taasisi ya Serikali.
Chukua hii 👇:
Mara nyingi Taxi, Bajaj na Pikipiki ukiona anapanda Kiongozi huwa ni za PT Idara ya I.
Mwalimu wangu habari za Siku nyingi.
NDIYO UNYWEEE BIA SASAHaijalishi ni ya nani bali tambua usafiri wowote wa kawaida ikitokea kiongozi anatakiwa autumie ima ni wa mtu aliye ndani ya mfumo asiyetambuliwa na wanaomzunguka ama unamilikiwa na Taasisi ya Serikali.
Chukua hii [emoji116]:
Mara nyingi Taxi, Bajaj na Pikipiki ukiona anapanda Kiongozi huwa ni za PT Idara ya I.
Muda si mrefu yatamshinda. Labda kama anaendana na bwana yule na akubali kulinda maslahi ya bwana yule.Kaja hapa kijiweni kala ugali dagaa!