Chalamila awasili Kariakoo awaambia Wafanyabiashara “Fungueni maduka, Biashara sio Siasa”

Eti nini?
Inchi za jirani zenyewe haziendi bila kariakoo, bwashee kariakoo ni habari ingine kabisa
We subiri tu uone serikali itakavyohangaika
 
Aggrey Mwanri apewe ukuu wa mkoa wa Darisalamu, hao wafanyabiashara angewachota wote na kuwasukuma ndani
 
Gharama za Bandari
Ndio maana nasema Samia anawachekea si unaona unavyoongea upumbavu hapa harafu uchumi uko paralysede.

Siasa za kindezi kama hizi piga ndani hao wapuuzi wakimbie Nchi.
Samiah anakuchekea wewe labda. Kwangu namuona Kama incapable leader.
 
Kasoma masharti ya Leseni yako. Au wewe machinga?
Kasome sheria ya leseni ya biashara, kwanza katika adhabu hakuna kufungiwa biashara Bali fine au kufunguliwa kesi mahakamani. Muwe mnasoma kwanza kabla ya kuropoka.
 
Sawa. Fuata Sheria za Tanzania bila shuruti
Huu ni msemo usio na maana. Kuna 1) sheria zinazokataza (ni marufuku...), 2) kuna sheria zinazolazimisha (kila mtu ata...), 3) kuna sheria zinazoruhusu (mtu yeyote aweza...). Sasa hiyo ya kutii sheria bila shuruti iko upande gani wakati sheria tayari zina element ya 'coercion' (yaani kufanya jambo lolote au kutofanya kwa jinsi sheria zinavyoelekeza)?
 
Kwani Toka wameanza kunyongwa Wala Rushwa waneisha? Acheni ujinga wa kuhujumu uchumi Kwa siasa nyepesi
Anayekula rushwa Ina maana kajitoa mhanga. Wananyongwa mawaziri sembuse wewe. Nani anahujumu uchumi, kufunga duka au mgomo sio uhujumu uchumi. Hakuna kosa Kama Hilo.
 
Kwani hao wafanyabiashara wameanza kufanya biashara jana paka aanze kuwaeleza hasara na faida za biashara zao.
Mama angewaza kiupana angeanza na kufukuza huyu..... Anaongea kama anaongea na masikini wanaojitafuta.... Tatizo Sana hili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…