KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Jiji la Dar es Salaam ndilo jiji lenye amsha amsha kuliko jiji lingine lolote. Ndilo jiji lenye bandari kubwa nchini, uwanja wa ndege mkubwa, barabara za kutoka sehemu zote nchini huishia Dar.
Dar ni jiji la maraha na karaha pia. Matapeli, vibaka, majambazi, wezi, na machanguduoa pia.
Mitume na manabii wenye maji ya upako, mafuta, ubuyu wa upako, mafenesi ya upako na chupi zinazosababisha wagumba washike mimba vyote vinapatikana Dar.
Dar kuna panya Road waliokulia katika nyumba za polisi na nyumba za viongozi wa dini.
Dar kila mtu ni afisa wa ikulu, tena bosi. Machinga wa Dar ana Range Rover Sport analia bata mtaani.
Karibu sana Chalamila, hapa ndio nyumbani kabisa kwa kina Tulinawe Kamwela mliyekuwa naye Iringa Tumaini University.
maggid naye kwake Iringa ila mishe ndio zimemleta Dar. Naamini ujio wako Dar ni wa kudumu. Sisi Wazaramo ni wakarimu sana.
Karibu utuhudumie kwa utumishi uliotukuka.
Dar ni jiji la maraha na karaha pia. Matapeli, vibaka, majambazi, wezi, na machanguduoa pia.
Mitume na manabii wenye maji ya upako, mafuta, ubuyu wa upako, mafenesi ya upako na chupi zinazosababisha wagumba washike mimba vyote vinapatikana Dar.
Dar kuna panya Road waliokulia katika nyumba za polisi na nyumba za viongozi wa dini.
Dar kila mtu ni afisa wa ikulu, tena bosi. Machinga wa Dar ana Range Rover Sport analia bata mtaani.
Karibu sana Chalamila, hapa ndio nyumbani kabisa kwa kina Tulinawe Kamwela mliyekuwa naye Iringa Tumaini University.
maggid naye kwake Iringa ila mishe ndio zimemleta Dar. Naamini ujio wako Dar ni wa kudumu. Sisi Wazaramo ni wakarimu sana.
Karibu utuhudumie kwa utumishi uliotukuka.