MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Kaangalie!Hivi Kagera ameacha Alama gani huyu mh?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaangalie!Hivi Kagera ameacha Alama gani huyu mh?
Aah wapi!Dar haihitaji mkuu wa mkoa, matatizo ya Dar ni ya kitaifa.
Issue kama za wafanyabiashara wa Kariakoo huyo Chalamila atatatuaje?
Dar is a heavyweight.
Tuwe na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Kiongozi Mkuu wa jiji la Dar
Hao wengine ni viongozi katuni.
Kama hautaki andamanaAah wapi!
Hole shit saying...Mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya
Ni ngumu kutoboa kwanza mdomo wake hauna breki.Chala hatoboi kwa DAR.subiri utaniambia
Bro
Jiji la Dar es Salaam ndilo jiji lenye amsha amsha kuliko jiji lingine lolote. Ndilo jiji lenye bandari kubwa nchini, uwanja wa ndege mkubwa, barabara za kutoka sehemu zote nchini huishia Dar.
Dar ni jiji la maraha na karaha pia. Matapeli, vibaka, majambazi, wezi, na machanguduoa pia.
Mitume na manabii wenye maji ya upako, mafuta, ubuyu wa upako, mafenesi ya upako na chupi zinazosababisha wagumba washike mimba vyote vinapatikana Dar.
Dar kuna panya Road waliokulia katika nyumba za polisi na nyumba za viongozi wa dini.
Dar kila mtu ni afisa wa ikulu, tena bosi. Machinga wa Dar ana Range Rover Sport analia bata mtaani.
Karibu sana Chalamila, hapa ndio nyumbani kabisa kwa kina Tulinawe Kamwela mliyekuwa naye Iringa Tumaini University.
maggid naye kwake Iringa ila mishe ndio zimemleta Dar. Naamini ujio wako Dar ni wa kudumu. Sisi Wazaramo ni wakarimu sana.
Karibu utuhudumie kwa utumishi uliotukuka.
ngoja tuone utendaji wake dasamalaAnavituko yule jamaa,bado hajaanza kuimba pambio wote mnaambiwa mpige makofi
Mueleweshe huyoHaiondoai uasili mjomba....wenyeji wapo wengi tu ila ni ngumu kujua....na hiyo ndo sifa ya Jiji kubwa....ukiona Jiji bado wenyeji wengi kuliko wageni basi hiko ni Kijiji....
Aliongea na Magufuli akiwa amekufa 😄... ila jamaa sio siri siasa anazijua!Huyu aliyeongea na marubani ndege ikiwa imetumbukia ziwani.
Hahahhaahaha..mbona kama kuna kaukweliDar hakuna Wazaramu kwani wote wamehamia misikitini na ngomani Chalinze na Bagamoyo.....wameogopa kufanya kazi na kwenda shule, wanaona bora wakae maporini tu wakifanya mapenzi ya kindugu.
Peace be upon you.Hole shit saying...
NikumbusheHukulete mrejesho ujue
Dar is overrated
Nimezaliwa dar naona mwenyeweWho told yah?
Iko overated ukilinganisha na wapi?Nimezaliwa dar naona mwenyewe
Kuna watu wanajua kuongea na wafu.Huyu aliyeongea na marubani ndege ikiwa imetumbukia ziwani.