Chalamila karibu Dar, jiji hili linataka mtu mtata na mwenye matata kama wewe

Aah wapi!
 
 
Haiondoai uasili mjomba....wenyeji wapo wengi tu ila ni ngumu kujua....na hiyo ndo sifa ya Jiji kubwa....ukiona Jiji bado wenyeji wengi kuliko wageni basi hiko ni Kijiji....
Mueleweshe huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…