Chalamila: Vibaka wafanywe 'skeleton' za maabara iwe fundisho kwa wengine

Chalamila: Vibaka wafanywe 'skeleton' za maabara iwe fundisho kwa wengine

Wakuu,

Ni Chalamila tena katika matamko yake kama vile amekatwa kichwa! Mchengerwa OR TAMISEMI tunasubiri neno lako hapo, huyu bwana hajui kama kuna sheria za kufuata?

====


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali watu wote wanaojihusisha na uporaji 'vibaka' katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo hususani vibaka wa Daraja la Selenda, ili iwe fundisho kwa wale wote wanaohatarisha amani na usalama jijini.

Chalamila amesema hayo mwishoni mwa juma alipoongoza zoezi la usafi kama maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Daraja la Selenda, Soko la Kimataifa la Salamaki la Feri na maeneo mengine ikiwa ni maandalizi kuelekea Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 'Mission 300' unaotarajiwa kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) kuanzia Januari 27-28 mwaka huu.

Chalamila amesema, "Sasa, naagiza kibaka takayekamatwa, asipigwe wala kuuliwa, apelekwe maabara awe 'skeleton' mifupa ya kufundishia wengine ambao wataiga mfano kwamba wizi haustahili katika jiji la Dar, kwahiyo hilo ndio agizo langu, wakale kielelezo kizuri kwa watu wengine." amesisitiza RC huyo.
Naona watu wengi wanaona Chalamila katoa kauli tata lakini ndiyo inavyotakiwa hvyo na chalamila siyo mara ya kwanza kutoa kauli kama hiyo kule mbeya aliwahi kutoa kauli inayofanana na hiyo kuhusu hao vibaka mi nampongeza yeyote yule anaetetea vibaka na ni kibaka. Vibaka wauwawe
 
Siku kibaka akikuchoma bisi bisi shingo au kisu cha tumbo kisa tu kukuibia sim ndio utamuelewa Mkuu wa Mkoa. Jamaa yangu pale Sinza alipigwa nondo ya uso jamaa wakaondoka na sim na wallet japo amepona lakini paji la uso limebonyea mpaka leo.
Ndugu yangu walimpiga bisibisi ya tumbo kisa tu wamuibie laptop. Tuliuguza weee mwisho akafariki 🙆‍♂️
 
Huyu huo mdomo wake lopolopo utakuja kumponza
Kwa Tanzania huyu hawezi kufanywa lolote. Kitakachotokea ni kwamba siku hawa ''vibaka'' watakapofanya kweli basi itakuwa too late kuwa-contain tena. Wewe waache waendelee kula raha wakidhani uongozi ni kuponda raha na kutoa maneno ya kejeli.
 
Hakuna watu nawachukia kama vibaka ni watu wabaya sana hawana huruma kabisa sasa mheshimiwa kachoka ndio mana katoa tamko kali sana dhidi ya vibaka.
 
Aongezee na mafisadi watumike kwenye practicals kwa wanaosomea udaktari.
 
Polisi wangemjibu palepale kuwa wanafanya kazi Kwa mujibu wa Sheria na siyo maneno ya mkuu wa mkoa.Ningekuwa Mimi ndiyo ocd niliyeambatana na huyo chalamila ningemwambia hivo.Kiongozi anayejitambua huwezi kuhalalisga kuua
 
Wakuu,

Ni Chalamila tena katika matamko yake kama vile amekatwa kichwa! Mchengerwa OR TAMISEMI tunasubiri neno lako hapo, huyu bwana hajui kama kuna sheria za kufuata?

====


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali watu wote wanaojihusisha na uporaji 'vibaka' katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo hususani vibaka wa Daraja la Selenda, ili iwe fundisho kwa wale wote wanaohatarisha amani na usalama jijini.

Chalamila amesema hayo mwishoni mwa juma alipoongoza zoezi la usafi kama maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Daraja la Selenda, Soko la Kimataifa la Salamaki la Feri na maeneo mengine ikiwa ni maandalizi kuelekea Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 'Mission 300' unaotarajiwa kufanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) kuanzia Januari 27-28 mwaka huu.

Chalamila amesema, "Sasa, naagiza kibaka takayekamatwa, asipigwe wala kuuliwa, apelekwe maabara awe 'skeleton' mifupa ya kufundishia wengine ambao wataiga mfano kwamba wizi haustahili katika jiji la Dar, kwahiyo hilo ndio agizo langu, wakale kielelezo kizuri kwa watu wengine." amesisitiza RC huyo.
Mwenyekiti wa Ulinzi na usalama Mkoa.
 
Kwenye hili namuunga mkono RC vibaka wamekuwa makatili sana sasa kwanini wao wafanyiwe uungwana?
Huku uswahilini kwetu walimpiga mtu nondo ya kichwa lakini walipomsachi wamemkuta na shilingi 3,000 na kiberiti! Sasa kweli watu kama hao ni wa kuwaonea huruma?
Hv watu wanapataga wapi huruma na vibaka. Hata kuwaacha skeleton n kuwapendelea Sana.
 
Huu sasa ni ukiukaji wa haki za binadamu na si vema binadamu kufanyiwa sampling za tiba bila utashi wake. Unamuua kibaka halafu mwili wake unaupeleka maabara kwa ajili ya experiment maabara si vema
 
1735269169326.jpg

mimi nikiskia Numbisa nashikwa na orgasm cjui kwa nn kila nikiona hili jina daa basi tu

i
 
Buku 3 na kiberiti tu mtu kapigwa nondo?
Mkuu niliwahi zimiwa Sigara kwenye paji la uso ili nishtuke niibiwe,
Kisu Nyuma ya mgongo na kikaingia nja yake ile..hiyo niibiwe simu.(Huyu nilikubali kisu kingie lakini nilikamata mikono yake,sikupiga kelele ila tulibatizana kwa maji ya moto na amekuwa mtu mwema mpaka sasa)

Hawa wanaopiga nondo watu ..wamevuka mipaka.Watazamwe kwa namna ya kipekee kabisa.
 
Vibaka waliwahi mtia panga la kichwa jamaa yangu mmoja wakamsachi hakua hata na hela alikua anatoka beach wakaishia kumpora kibegi kilikua na nguo za kuogelea.mpaka leo ana ngeo.kiufupi nywere hazioti hilo eneo na ukizingatia jamaa alikua na kaka kipara ka ukoo kwa mbele hiyvo kajikuta ana vipara viwili kingine mbele na cha alama ya panga nyuma
 
Kibaka, wezi na majambazi hakuna kuwaimbia kwaya....... Ni mwendo WA kuwawahisha kwa baba
 
Hujawai kukutana na kashkash za vibaya wewe,mimi nikifanikiwa kumdhibiti mwenyewe bila wengine kujua ,kuna sehemu nitajifungia nae
 
Back
Top Bottom