Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walivunja kwangu mchana kweupeWalikufanyia mbaya yoyote?
Walivunja mlango au geti?Walivunja kwangu mchana kweupe
Kinjanja sanaAmetoa amri ya kuua kiaina
Duh aiseee
Duh aiseee
Numbi kama Nuumbi.Duh aiseee
Walivunja Grill,Walivunja mlango au geti?
Ndiyo,unajua wale jamaa wakiona mtu anakuja wanajiandaa kumshambulia na kweli akifika usawa wao wanamvamia bila kujua ana hela au mali ya maana na yule mtu akileta upinzani wao hawarembi kama kisu au bisibisi wanamtoboa kweli au wanampiga nondo mtu akizima fasta wanazama mifukoni bila kufahamu mtu ana hela au la.Buku 3 na kiberiti tu mtu kapigwa nondo?
Numbi kama Nuumbi.
Nasikia Numbisa Kwa kisukuma ni viazi
Mkuu watu wanaleta blah blah tu hapa, solution kibaka akidakwa auwawe tu hakuna kuremba... Tunavyowadekeza ndo wanazidi kuongezeka. Wangekua wanaonyeshwa show wangeacha.Daaah ila vibaka mazeee,hatari sana wanaumiza mnoooo.
Na inauma Zaid pale wanakuibia na kukuacha na ulemavu wa kudumu.
Ni Bora tu wajue mapemaaa wakidakwa biashara yao imeisha
Safi sana kama panya roads walivyoishaPolisi wanahangaika kuwaeleimisha watu wasiue/wasichome moto wezi, yeye tena anawaagiza wafanye kile kile wanachopinga. Kazi ipo.