Chalamila: Vibaka wafanywe 'skeleton' za maabara iwe fundisho kwa wengine

SKELETON TENA.SIWAPEND WALA SINA HURUMA NAO ILA ADHABU IWE KALI KWA UTARATIBU UNAOFAA
Utathibitishaje kuwa ñi kibaka ? Kusingiziwa ? Vipi wewe siku unakatiza mtaani wakakuungia kisasi etc wakakupiga ni kibaka....unaenda skeleton pia?
 
Aulizwe pia mafisafi na wahuni serikalini wafanywaje?

Tuna muuaji mwenye uchu wa nyama za wafu katika madaraka
 
Ndugu yangu walimpiga bisibisi ya tumbo kisa tu wamuibie laptop. Tuliuguza weee mwisho akafariki 🙆‍♂️
Duh polen jamani

Nchi zetu hizi ni shida sana

Viongozi wanajua kuiba tu
 
Hv najiulizaa mtu anaetetea vibaka ni aitha mwanae au ndugu yake nikibaka hv mmeshawah kuonaa kbaka anamtkboa mtu bissbis ya tumboo kisa ampokonye kiswaswaduu.kibaka au mwiz popote alipo nawanao watetea wapgwe mapgo yanayo stahk kutoa nafsi zao 🙏🙏🙏
 
Kuna namna ya kufikisha ujumbe bila kuonesha unahamasisha kuvunja sheria. Mfano yule aliesema POLISI WAWANYANG'ANYE SILAHA MAJAMBAZI. Hapo utajua silaha wananyang'anywa vipi.
Hiyo imenipita nadhani hebu niambie ni nani amesema nikamgoogle saivi
 
Aulizwe pia mafisafi na wahuni serikalini wafanywaje?

Tuna muuaji mwenye uchu wa nyama za wafu katika madaraka
Hiyo atakwambia hasikii karibu! Mnaleta uchochezi😂
 
Hayo yanatokea haimaanishi ndio nawe uue, ingekua hivi hata mtu anaweza kuwa hajaiba akazushiwa uhai ukapokwa. Sheria zingekua madhubuti wananchi wangewaamini polisi... kujichukulia sheria mkononi ni matokeo ya polisi kufeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…