kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Unafahamu kuna watu wametelekezwa na mimba na hata kula yao ya siku ni mtihani?Mkuu sawa ni haki yenu kulalamika kwa kile alichokiongea RC ila usiniambie ya kuwa ndani ya miezi tisa umeshindwa kudunduliza hadi ifike 50,000 hata kama ni umasikini ila hii imezidi.
Mimba inakuja na vikwazo vingi kuweka pesa kidogo kidogo ni muhimu.
Hao watu hawana hata ndugu, marafiki au wameshindwa kwenda hata ustawi wa jamii na mashirika mengine?Unafahamu kuna watu wametelekezwa na mimba na hata kula yao ya siku ni mtihani?
Wewe ni mgeni hapa Tanzania?Hao watu hawana hata ndugu, marafiki au wameshindwa kwenda hata ustawi wa jamii na mashirika mengine?
Jibu swali kwa jibu sio kwa swali.Wewe ni mgeni hapa Tanzania?
Nakuuliza sababu unajenga hoja kama mgeni ama mtu mwenye uelewa finyu wa mazingira ya Kitanzania.Jibu swali kwa jibu sio kwa swali.
Kwani Tz hamna ustawi wa jamii na mashirika mengine ya wakina mama wenye matatizo?
Acha kutafuta huruma na kukwepa wajibuNakuuliza sababu unajenga hoja kama mgeni ama mtu mwenye uelewa finyu wa mazingira ya Kitanzania.
Miezi michache iliyopita kuna mtu alifariki kwa kugongwa na nyoka kwa sababu alikosa fedha.
Kuna wagonjwa huko Tunduru wanasafirishwa kwenye matenga.
Na kama umewahi kutembea ama kuishi mikoani utashuhudia maelfu ya Watanzania wanaishi kama wanyama kutokana na umasikini.
Asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi hand-to-mouth hawana hata akiba.
Mnazungumzia habari ya ku-save elfu hamsini kama kwamba ni buku.
Tembeeni mjionee diversity. Msishinde Kariakoo mkaishi mnaifahamu Tanzania.
hata hivo mentality ya BURE imeharibu wengi badala ya kutumia neno GHARAMA NAFUU wanatumia BURE sasa wakiambia watu changia inakuwa kelele, si unaona POTUS kajitoa kusaidia Africa imekua kilio kwasababu tumezoea bure/msaada badala ya kuchangia japo kidogo imagine leo waseme net za malaria ziuzwe elfu5 utasikia vilio wakati malaria anatuadhiri sisi wenyewe, kuchangia tunaona ni kuteswa. Why tumezoeshwa BURE!
Kama wewe ni masikini kwanini unazaa?Robert Heriel Mtibeli
Huenda haujui Umasikini au umekuzwa katika mfumo wa mafanikio acha nikae kimya.
Umeuliza maswali ambayo majibu yako ndani ya jibu lako.Acha kutafuta huruma na kukwepa wajibu
Huyo mama alimpigia mkuu wa mkoa simu.
Simu ni bei gani? Vocha?
Anakosaje elfu 50 mwaka mzima.
Kuna watu wana maisha magumu sawa nadhani hao serikali ingeona jinsi ya kuwasaidia
Mkuu mbona kama unakwepa kujibu swali kwa kuleta hoja zingine. Hiyo habari ya wagonjwa kusafirishwa kwenye matenga hapo nailaumu serikali moja kwa moja ila hapa tunaongelea mama mjamzito. Mkuu hata kama uwe masikini vipi ukikaza unaweza kupata 50,000 ndani ya miezi tisa hata kwa kuombakuomba kwa majirani la sivyo utabaki unailaumu serikali kwa vitu vidogovidogo.Nakuuliza sababu unajenga hoja kama mgeni ama mtu mwenye uelewa finyu wa mazingira ya Kitanzania.
Miezi michache iliyopita kuna mtu alifariki kwa kugongwa na nyoka kwa sababu alikosa fedha.
Kuna wagonjwa huko Tunduru wanasafirishwa kwenye matenga.
Na kama umewahi kutembea ama kuishi mikoani utashuhudia maelfu ya Watanzania wanaishi kama wanyama kutokana na umasikini.
Asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi hand-to-mouth hawana hata akiba.
Mnazungumzia habari ya ku-save elfu hamsini kama kwamba ni buku.
Tembeeni mjionee diversity. Msishinde Kariakoo mkaishi mnaifahamu Tanzania.
Kabla ya kuangalia rasimali zetu kama zinatufaidisha au laUmeuliza maswali ambayo majibu yako ndani ya jibu lako.
Kama unakiri kuna watu wana maisha magumu na wanahitaji kusaidiwa, kwa nini huyo mama asingesaidiwa?
Unaulizia habari za vocha na simu, kwani hawezi kuazima kwa mtu?
___
Mimi sitafuti huruma, ila ninachohitaji ni lugha za staha kutoka kwa kiongozi ambaye anaongoza watu wenye maisha yanayotofautiana.
Pia, ninahitaji kuona rasilimali za nchi zinatumika ili kuwasaidia wananchi wake. Nchi hii na rasilimali zake, ni aibu kukosa gloves kwenye hospitali zake.
Zindukeni ninyi.
Haupo sawa kichwani hata kidogo. Na kama ndiyo watanzania baadhi mpo hivi basi ni laana kwa nchi. Hivi kweli wewe kwa akili Yako unaona ni sawa mtu anayehitaji huduma ya kiafya kuambiwa hatuna gloves? Hospital tena ya umma ambayo mwananchi anakatwa Kodi na kabebeshwa mzigo wa tozo. Tukisema chalamanda yupo sawa tunatoa taswira Gani katika sekta ya afya? Juzi kuna mama kafa kwa kung'atwa na nyoka wamekataa kumtibu Hadi atoe 150.000. wewe unaona ni sawa tu. Bila shaka wewe utakuwa ni baba yake shetani. Utakufa vibaya wewe.😭
Wacha uzoba wewe. Kwani hakukuwa na namna nyingine ya kuelezea hiyo hali bila kusema maneno ya kijinga kuwa arudi nyumbani mume wake akasaidie kujifungua? Haya mambo kiongozi yoyote mwenye busara anaweza kuyaelezea kwa kutumia hekima na siyo kiburi. Au wewe huko kwenu mlikuzwa kwenye mazingira ya kutotumia busara wakati unaongea kwenye kadamnasi?Hii serikali nayo ndio imewazoesha mambo ya burebure ili Kupata sifa za kijinga.
Weka gharama reasonable lakini bure ni uamuzi usio Sahihi.
Kama hiyo elfu 40 iko reasonable
Haya, elimu nayo waweke Ada kila mtoto atoe Ada elfu 20 iende serikali kuu.
Waalimu Wapate mishahara, marupurupu na serikali isipate Mzigo kuchukua pesa kwenye sekta zingine
Kila sekta ijihakikishie inajitegemea kwa angalau asilimia 50
Kulikuwa hakuna namna nyingine ya huyu mjinga kuelezea na wananchi wakamwelewa? Kiburi na ulevi wa madaraka unazidi kuwaandama waafrika ndiyo maana hatuendeleiWewe utakubali kumpeleka Mkeo au binti yako mjamzito Akiwa Hana vifaa vya kujifungulia au Hana pesa?
Ikiwa jibu ni Ndio Basi wewe ni shetani mwenye cheo cha juu Kabisa.
Kwa nini mnapenda kutafutia watu ubaya?
Kama unajua yotee haya na unajijua wewe masikini KWANINI UBEBE MIMBA?Serikali isikwepe jukumu lake.
Jamani tembeeni muone, kuna watu wana maisha magumu ukimwambia aitoe 40 kwa pamoja ni bora umpige kisu, HANA, kuna watu wana maisha magumu huko.
Mfano mzuri kuna ile video yule mzee anatembea na samaki akapewa 20k mpaka akatoa machozi ya shukrani, vijijini huko kuna wakina mama wanalipa vipande ama mraba 20 kwa 20 ama 10 kwa 10, hizo ni mita kwa elfu saba. Anaweza kumaliza siku 2 mpaka 3, sasa jiulize kazi ya elfu 7 amalize kwa siku 3 ama 2, kwa siku kaingiza kiasi gani, anakula kiasi gani, bajeti ya hospital kiasi gani, shule mtoto kiasi gani, umeme ama solar, ama mafuta ya taa, ama miahumaa kiasi gani, na hizo kazi ni za msimu
Serikali itoe hudumu muhimu ikiwezekana bure, elimu bure, afya bure inawezekana kabisa.. Mkuu wa wilaya, sijui nani nani wanatembelea gari za milioni 400 huko, je pesa hizo hazitoshi kuhudumia afya na elimu wilaya husika!?
Na huduma hizo zisiwe bure tu ila ziwe ni bora kabisa.
Najaribu kukupa mifano walau kupanua ufahamu wako lakini kwa kuwa una kichwa kigumu unaona nikwepa jibu.Mkuu mbona kama unakwepa kujibu swali kwa kuleta hoja zingine. Hiyo habari ya wagonjwa kusafirishwa kwenye matenga hapo nailaumu serikali moja kwa moja ila hapa tunaongelea mama mjamzito. Mkuu hata kama uwe masikini vipi ukikaza unaweza kupata 50,000 ndani ya miezi tisa hata kwa kuombakuomba kwa majirani la sivyo utabaki unailaumu serikali kwa vitu vidogovidogo.
Wacha uzoba wewe. Kwani hakukuwa na namna nyingine ya kuelezea hiyo hali bila kusema maneno ya kijinga kuwa arudi nyumbani mume wake akasaidie kujifungua? Haya mambo kiongozi yoyote mwenye busara anaweza kuyaelezea kwa kutumia hekima na siyo kiburi. Au wewe huko kwenu mlikuzwa kwenye mazingira ya kutotumia busara wakati unaongea kwenye kadamnasi?
Kulikuwa hakuna namna nyingine ya huyu mjinga kuelezea na wananchi wakamwelewa? Kiburi na ulevi wa madaraka unazidi kuwaandama waafrika ndiyo maana hatuendelei