S Shabani Ajaha Member Joined Aug 18, 2021 Posts 78 Reaction score 60 Mar 22, 2022 #41 Katika kuadhimisha kilele Cha wiki ya Maji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan Leo tar 22 Machi 2022 amefanya uzinduzi wa mradi wa maji na kuzungumza na wananchi wa Chalinze. #AlipoMamaVijanaTupo #2022JiandaeKuhesabiwa #Kaziiendelee
Katika kuadhimisha kilele Cha wiki ya Maji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan Leo tar 22 Machi 2022 amefanya uzinduzi wa mradi wa maji na kuzungumza na wananchi wa Chalinze. #AlipoMamaVijanaTupo #2022JiandaeKuhesabiwa #Kaziiendelee
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Mar 22, 2022 #42 Hongera Rais SSH ....
AKAN JF-Expert Member Joined Oct 23, 2016 Posts 991 Reaction score 963 Mar 22, 2022 #43 Kazi nzuri.., miradi iwafikie watz wanaodhimisha maji ya mvua tu kila mwaka.., hongera rais SSH.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Mar 22, 2022 #44 Inapendeza...