Katika kuadhimisha kilele Cha wiki ya Maji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan Leo tar 22 Machi 2022 amefanya uzinduzi wa mradi wa maji na kuzungumza na wananchi wa Chalinze.

#AlipoMamaVijanaTupo
#2022JiandaeKuhesabiwa
#Kaziiendelee

 
Kazi nzuri.., miradi iwafikie watz wanaodhimisha maji ya mvua tu kila mwaka.., hongera rais SSH.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…