Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
Katika kuadhimisha kilele Cha wiki ya Maji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan Leo tar 22 Machi 2022 amefanya uzinduzi wa mradi wa maji na kuzungumza na wananchi wa Chalinze.
#AlipoMamaVijanaTupo
#2022JiandaeKuhesabiwa
#Kaziiendelee
#AlipoMamaVijanaTupo
#2022JiandaeKuhesabiwa
#Kaziiendelee