Chama cha ACT - Wazalendo chajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Malalamiko yako hayo ukiwaelezea wapiga kura kwenye kampaini ni % ndogo sana yao watakaokuelewa na kuamua kukupa kura ya ndiyo! Ni kama 2%! Maana yake CCM itakuwa inaongoza kwa 98%. Hivyo nakushauri haya mambo mnayoyasema kila kukicha yanaboa, tafuta habari mpya zitakazo weza kuipiku CCM kwa wakati huu. Kama mmeishiwa point, jiungeni CCM ieleweke.
 
Umeandika kwa uchungu sana mwanangu
Kuna watu walifukuzwa kazi kwa kudhalilishwa mbele ya hadhara, bila kupewa haki zao za msingi, matokeo yake walipoteza maisha kwa ugonjwa wa moyo (watu waliokua tegemezi katika familia zao).

Iliniuma sana, japo sina undugu na yoyote, ila si jambo la kufurahia likimpata mwenzako mkuu.
 
Acha uongo mods kuweni makini maana kulingana na twiti ya zito bado wanafanya tathmini na wameweka poll mtandaoni kuwauliza wanachama wao

Hawataki kutumia upumbavu kama wa chadema kubaka haki za wanachama

State agent


Kwani wewe kinakuuma nini wao kujitoa wakati wewe siyo wao? Kwani unakosa nini wao kutokushiriki? Majibu yako wazi- wewe ni muoga wa consequences.
 
Acha uongo mods kuweni makini maana kulingana na twiti ya zito bado wanafanya tathmini na wameweka poll mtandaoni kuwauliza wanachama wao

Hawataki kutumia upumbavu kama wa chadema kubaka haki za wanachama

State agent
Amenunua ndege amejenga reli amejenga madaraja lkn ana mapambio kibao ktk vyombo vya habari lkn anaogopa kitu kidogo tuu uchaguzi huru na wahaki
 
Kanunua ndege kajenga reli mapambio ktk vyombo vyote vya habari hapa nchini lkn kitu kidogo tu anaogopa uchaguzi huru na wahaki
 
Nyinyi suseni lakini vyama makini vinavyounga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais vitashiriki ili vizidi kumuunga mkono.
 
Pole sana,mmelikoroga.Linyweni sasa.
Kasikilize speech yake vzr
Acha uongo mods kuweni makini maana kulingana na twiti ya zito bado wanafanya tathmini na wameweka poll mtandaoni kuwauliza wanachama wao

Hawataki kutumia upumbavu kama wa chadema kubaka haki za wanachama

State agent
 
Uamuzi wa kujitoa ni sahihi. Yanayofuata sijui.
 

Hakuna mwenye muda wa kujiunga kwenye chama kizee kilichojaa wauwaji,na wanaotegemea dola kufanya siasa.
 
Japo Zitto Kabwe huwa simuamini lkn,kama kiongozi Mkuu WA chama ameliona hilo na kugomea uchafuzi (uchaguzi) basi hilo ni jambo jema sana!
 
We yamekushuka mchana si ulisema mimi kusema Act Wazalendo wajitoe ukasema nawapangia, nisiwapangie kiko wapi sasa si hawa wamejitoa. Tunapoandika tunatumia reasoning siyo mikurupuko ya buku saba kama nyinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…