Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
Dah Mimi Niko MOI hapaMkuu watu wapo viwanja haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Mimi Niko MOI hapaMkuu watu wapo viwanja haha
CCM BHivi na wao wana Chaguzi au wanateuana tu?
Pole mkuuDah Mimi Niko MOI hapa
kwamba,Uchaguzi wa Chama cha Walimu huwa ni Aibu tupu, hebu wajifunze kutoka TLS. HONGERA TLS
Hongera Mwabukusi
Shukrani sana KakaPole mkuu
Kwahio waliomchagua wote hawajaona kiburi, wewe kajamba nani ndio umeona kiburi na sio kipawa chake....kwamba,
yaani wajifinze kiburi cha mwabukusi, right?🐒
Basi nimekuelewa NduguAcha kufananisha chama cha wasomi na Chama Cha Wapumbavu ambao hata Maslahi yao hawawezi kuyatetea... Mbumbumbu kabisa
Nitakucheki broShukrani sana Kaka
ukilala wewe inatosha na itapendeza zaidi 🐒Naona JF leo watu hawataki kulala kabisa
kumbe mnafanana kila kitu, hekima na busara vimewapitia pembeni kabisa 🐒Kwahio waliomchagua wote hawajaona kiburi, wewe kajamba nani ndio umeona kiburi na sio kipawa chake....
Better vipite pembeni kwa maslahi ya wengi.......kumbe mnafanana kila kitu, hekima na busara vimewapitia pembeni kabisa 🐒
Pamoja sana Ndugu yanguNitakucheki bro
takununulia soda😂Waalimu wezi wa kura ..
Wasaliti wa taifa hawawezi kujifunza
🤣🤣🤣,nilishawahi kuwasikia mkuu, yaani hawa jamaa huwa nawashangaa sana.Kuna kitu kinaitwa UMOJA WA WALIMU WAKEREKETWA WA CCM, Nani ashawahi kukisikia? Wako Hadi na VIONGOZI
Na bado kwenye sherehe za May Mosi na Mwenge wanachangishwa michango🤣🤣Walimu hua wanapewa wali na tishirt tayari wanabadili maamuzi, hawana msimamo wale