Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wamechoka ila wanamchangia rais hela ya kununua form ya urais as if yeye rais hiyo hela hana🤣🤣Uchaguzi wa Chama cha Walimu huwa ni Aibu tupu, hebu wajifunze kutoka TLS. HONGERA TLS
Hongera Mwabukusi