Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Una jina zuri na Una akili pia, halafu jina kama la kwetuUkiachana na njaa hata zile akili za kawaida hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una jina zuri na Una akili pia, halafu jina kama la kwetuUkiachana na njaa hata zile akili za kawaida hakuna
Dah Aibu saanaWalimu gani hao unaosema wajifunze? Hawa ambao wanaisaidia CCM kuiba kura?
TLS ilisha fanya nini kuzidi Chama cha walimu ,hakuna kipya ni chama cha kula subscriptions tu kwa viongoziUsifananishe tls na mavi
TLS ilikwisha ongozwa na Shangazi karume na Tundu Antipas walifanya nini zaidi ya kula michango kihalali kabisa kwenye vikao vyaoAaah msitusingizie walimu kabisa, hii nchi watu wake ni wa hovyo kuliko hata walimu. Nyie key board warriors mnaojiona mna akili, mmefanya lipi la maana? Au ndio mnajificha kwenye mgongo wa TLS!!!
Wanataka watu wengine ndio wajitoe kwaajili yao, wao hata maandamano yakiitishwa tu wako uvunguni.TLS ilikwisha ongozwa na Shangazi karume na Tundu Antipas walifanya nini zaidi ya kula mishango kihalali kabisa
Mimi ni mwana CWT Ndugu mjumbe mwenzangu hahahahaha nakutakia sabato njemaAaah msitusingizie walimu kabisa, hii nchi watu wake ni wa hovyo kuliko hata walimu. Nyie key board warriors mnaojiona mna akili, mmefanya lipi la maana? Au ndio mnajificha kwenye mgongo wa TLS!!!
Khaaaaa asante SanaWalimu wanachukua karibu 50%ya waajiriwa wote wa serikal
Kwa ufupi walimu wanabeba picha nzima ya akili za watanzania ambao wengi ni wajinga na hawajitambui
Huwezi fananisha akili za madaktari na akili za waalimu
Walimu weng ni mapopoma km ilivyo kwa watanzania walio weng
Uko sahihiUna jina zuri na Una akili pia, halafu jina kama la kwetu
BarikiwaUko sahihi
HAWA NDIO WALIMU LAKINI AKILI ZAO WANAJUA WAMEWEKA WAPI,WANATUMIKA KAMA ILE KARATASI NYEPESI INAYOTUMIKA KWENYE KALE KACHUMBA KADOGO KA FARAGHACWT chama kilichojaa akili za njaa hawawezi kufanana na TLS
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uchaguzi wa Chama cha Walimu huwa ni Aibu tupu, hebu wajifunze kutoka TLS. HONGERA TLS
Hongera Mwabukusi
Jina limekaa kichawi mnoooCWT ~ CHAMA CHA WALIMU TANZANIA
walimu hawahawa wanaoingia na deli la kashata ubuyu darasani auUchaguzi wa Chama cha Walimu huwa ni Aibu tupu, hebu wajifunze kutoka TLS. HONGERA TLS
Hongera Mwabukusi
Njaa haina baunsawalimu hawahawa wanaoingia deli la kashata ubuyu darasani
jeuri ya msomikwamba,
yaani wajifinze kiburi cha mwabukusi, right?🐒