Chama cha Walimu wajifunze kutoka TLS

Chama cha Walimu wajifunze kutoka TLS

Aaah msitusingizie walimu kabisa, hii nchi watu wake ni wa hovyo kuliko hata walimu. Nyie key board warriors mnaojiona mna akili, mmefanya lipi la maana? Au ndio mnajificha kwenye mgongo wa TLS!!!
 
Aaah msitusingizie walimu kabisa, hii nchi watu wake ni wa hovyo kuliko hata walimu. Nyie key board warriors mnaojiona mna akili, mmefanya lipi la maana? Au ndio mnajificha kwenye mgongo wa TLS!!!
TLS ilikwisha ongozwa na Shangazi karume na Tundu Antipas walifanya nini zaidi ya kula michango kihalali kabisa kwenye vikao vyao
 
TLS ilikwisha ongozwa na Shangazi karume na Tundu Antipas walifanya nini zaidi ya kula mishango kihalali kabisa
Wanataka watu wengine ndio wajitoe kwaajili yao, wao hata maandamano yakiitishwa tu wako uvunguni.
 
Aaah msitusingizie walimu kabisa, hii nchi watu wake ni wa hovyo kuliko hata walimu. Nyie key board warriors mnaojiona mna akili, mmefanya lipi la maana? Au ndio mnajificha kwenye mgongo wa TLS!!!
Mimi ni mwana CWT Ndugu mjumbe mwenzangu hahahahaha nakutakia sabato njema
 
Walimu wanachukua karibu 50%ya waajiriwa wote wa serikal
Kwa ufupi walimu wanabeba picha nzima ya akili za watanzania ambao wengi ni wajinga na hawajitambui

Huwezi fananisha akili za madaktari na akili za waalimu

Walimu weng ni mapopoma km ilivyo kwa watanzania walio weng
 
Walimu wanachukua karibu 50%ya waajiriwa wote wa serikal
Kwa ufupi walimu wanabeba picha nzima ya akili za watanzania ambao wengi ni wajinga na hawajitambui

Huwezi fananisha akili za madaktari na akili za waalimu

Walimu weng ni mapopoma km ilivyo kwa watanzania walio weng
Khaaaaa asante Sana
 
Hawa waiba kura ni vichwa vigumu.

Alafu TLS ni Chama cha Wasomi acha kukifananisha na huu ujinga
 
Back
Top Bottom