Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
🤣😂 Ety NEYO, kweli ukiwa jobless unakuwa mbunifu 😂
Unataka kiitwaje ?😂 Ety NEYO, kweli ukiwa jobless unakuwa mbunifu 😂
Hilo hilo NEYO ndo unyama 😂Unataka kiitwaje ?
Duh!Mara NEYO mara NETO
wakiunganishe tu
NEYO+NETO=NYETO
Unyama sanaHilo hilo NEYO ndo unyama 😂
Unafaa kutoa tuzo ya uchekeshajiMara NEYO mara NETO
wakiunganishe tu
NEYO+NETO=NYETO
Wapeni mikopo sasaChama kijikite sio kupambania vijana waajiriwe bali kubuni fursa na kuwezesha vijana kujiajiri.
Wasajili chama kiwe official. Kama kuna magoli ya mama na vyama vya machawa na vinapewa pesa itashindikana vijana wenye maono na malengo kupata pesa?Wapeni mikopo sasa
CCM hovyo kabisaWasajili chama kiwe official. Kama kuna magoli ya mama na vyama vya machawa na vinapewa pesa itashindikana vijana wenye maono na malengo kupata pesa?
Nchi imeoza kuanzia juuCCM hovyo kabisa
Mfumo wa hovyo na wakijingaNchi imeoza kuanzia juu
Kweli mkuu nimecheka kijinga sana, vijana achaneni kuchukua fani ualim bora kwenda veta kuliko ujinga huu, wacheni walim waliopo wazeeke mpaka wafe wenda mtakumbukwaUnafaa kutoa tuzo ya uchekeshaji