Chama cha Wamiliki Mabasi (TABOA) kusitisha kutoa huduma kuanzia Jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi kupitia mtandao

Chama cha Wamiliki Mabasi (TABOA) kusitisha kutoa huduma kuanzia Jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi kupitia mtandao

Jumatano ijayo TABOA wanaanza mgomo wakigomea mfumo wa tiketi za kielektroniki ambao wamesema unaelekea kuwafilisi. Wameamua kwa kauli moja kuanza rasmi mgomo.

Tumekuwa tukishuhudia huko nyuma serikali ya awamu ya tano ikitumia ubabe na vitisho kuzima sauti za madai na matokeo yake kupelekea msiba mkubwa sehemu husika. Kwa hili watakuwaje? Tusubiri tuone.

Yaani mm ningekuwa raisi ningesema yyt anaegoma akaweke gali lake nyumban mm nitaleta magali yangu hapo msitutishe
 
Chama cha wamiliki wa mabasi nchini(TABOA) kwa kauli moja kimetangaza kusitisha kutoa huduma kuanzia jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi wa mtandao wakidai mfumo huo ni kandamizi na unawaumiza wamiliki na kufIkia hatua ya kutaka kuwafilisi.


Hawa wanatafuta tu njia ya kubadili ajenda kuu ya corona na kuingiza jambo litakalowapa sifa serikali.

Hili nalo ni jambo la kugomea? Si waeleze tu palipo na tatizo kama kuna tatizo ili litatuliwe na mambo yaendelee?

Utapinga vipi njia za kurahisisha kazi, kama sio kulinda njia zao za kuiibia serikali haki yake!
 
Chama cha wamiliki wa mabasi nchini(TABOA) kwa kauli moja kimetangaza kusitisha kutoa huduma kuanzia jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi wa mtandao wakidai mfumo huo ni kandamizi na unawaumiza wamiliki na kufIkia hatua ya kutaka kuwafilisi.


Leo ninyi ndio mmegundua kupoteza pesa kupitia mfumo mpya wa elektroniki kuliko mlivyowasababishia hasara kubwa watumiaji na wateja wenu kama abiria? Mkigoma tu leseni zenu kwa heri
 
Taboa wanatumiwa na chadema hawa
Uko sahihi mnyika alishaongoza mgomo wa mabasi ya abiria ubungo kipindi cha Kikwete akiwa mbunge wa Ubungo enzi za kuhujumu serikali ya Kikwete ionekane dhaifu ikiogozwa na mtandao wa Lowasa wa CCM na wa Chadema huyo mtoa tamko chadema anatoka kilimanjaro .Taboa wana wanachama kibao walioanza kutumia mfumo wa kukata Tiketi online kabla haya serikali kutamka .Wao wenyewe waliona umuhimu wake Huyu.mtoa tamko Chadema msikilize hadi rafudhi yake

Kipindi cha Kikwete walitumia sana Taboa na Chama cha madaktari Tanzania kikiwa chini ya mtandao wa Lowasa Mashinji aliyekuja kuzawadiwa ukatibu mkuu wa Chadema kwa kazi ya kuua wagonjwa kibao kufuatia mgomo wa madaktari
 
Washasahau zile maiti kwenye viroba pale coco beach..Wagome tu

Mkuu unajua maana ya haki?
Huwezi kua unaonewa wew umetulia tu et kwakua unahofia jambo furani
Hio ni makosa
Ningekuelewa sana sana sana kama ungeweka lai ya mapatano baina ya hawa watu wawili sio kutishia au kutishiana hilo sio jambo jema!
 
Jumanne kuna uwezekano watu watalala lockup central Kama yule askofu wa Moravian
Kamanda huwa anafanyia kazi habari za mitandaoni Kama zitampa credit kwa Bwana Mukubwa
 
Issue wanapataje hasara wakati cost za mtandao wanajumlisha kwenye tiketi kama ilivyo VAT? hawa wahuni tu
 
Naungana na TABOA huu mfumo ni KANDAMIZI kabisa, kwanza tujiulize kabla ya kuanzisha huo mfumo au kutoa matamko walikaa kikao na TABOA kuwaelezea juu ya huo utaratibu na kukubaliana ...walsikiliza maoni ya TABOA au mihemko ya kisiasa tu ndio waliamua kuweka huo mfumo bila kuwashirikisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Any strike anticipated to be executed by whoever including TABOA who have made public their intention to doing so without being authorized shall lead to the transporters' licence holders revocation and sabotage charges framed against the hooligan activists.
 
Utaratibu upi ambao wanaongelea. Kila biashara inatakiwa kulipa kodi, wafanyakazi wanalipa kodi kwa nini wenye mabasi wasilipe? Hii inaonyesha kwamba walikuwa hawalipi kodi stahiki, maana kwenye electronic system hiyo kodi ni automatic. Hongera sana JPM kwa kuwanyoosha wale wote ambao walifikiri wanaweza kuendelea kuzuga kwamba nchi hii ni masikini.
 
kivipi unaumiza tafadhali nitaongea na Ngewe mkurugenzi mkuu wa Latra ni msikivu .Tafadhali fafanua kivipi haraka mleta mada changamoto ni zipi?
Kama unamjua wasaidie hawa wamiliki wanaoteseka na kufilisiwa.
 
Kumbe Wewe uelewa wako mdogo,kwenye ndege TCAA ndo wameweka mfumo wa kukata ticketi?au kwenye meli SUMATRA ndo wameweka mfumo wakukata ticket?
gharama za mifumo huwemo kwenye tiketi .Ndege siku nyinzzzzzzgi wanatumia mfumo mmoja wa kidunia
Kama unamjua wasaidie hawa wamiliki wanaoteseka na kufilisiwa.
Wahuni wafilisiwe wapi wakati extra cost ya kukaa tiketi mtandaoni wanaziongeza kwenye gharama za tiketi? unajua Chadema nyoe hamna wasomi na hamjui kutumia wasomi .Hili halina uhusiano na mwenye basi nauli itaongexeka kwa abiria ku cover costs

tuliwakatalia post za juu msiweke watu form six failure kama Mbowe na Mnyika mkagoma kusikiliza sasa haya ndio matokeo.Uelewa zero
 
Back
Top Bottom