Chama kipya cha Siasa kinachoitwa "Umoja Party" kuanzishwa

Chama kipya cha Siasa kinachoitwa "Umoja Party" kuanzishwa

Waspobadilika wataendelea kuja na malalamiko uliyoandika hapo juu kizazi baada ya kizazi

Upinzani imara hauwezekani bila nguvu ya wananchi, na nguvu ya wananchi haiji kwa kulalamika ila kwa siasa zinazowaonyesha njia sahihi ya kumaliza matatizo yao ikiambatana na vitendo na sio blahblah



Matamanio yangu ni kuona siasa kwa ustawi wetu sote

Nasubiria ushawishi wako kwangu walau nikupigieni kura siuoni

Nguvu ya wananchi unayoiongelea ww ni ya kupambana na vyombo vya dola.

Unataka kuona ushawishi wa kisiasa kwa vigezo vya kiccm. Mimi sihitaji kura yako maana sihitaji uongozi popote. Tafuta wanaotaka uongozi uwape kama watakuwa na sababu za kiccm za kukuridhisha.
 
Nguvu ya wananchi unayoiongelea ww ni ya kupambana na vyombo vya dola.

Unataka kuona ushawishi wa kisiasa kwa vigezo vya kiccm. Mimi sihitaji kura yako maana sihitaji uongozi popote. Tafuta wanaotaka uongozi uwape kama watakuwa na sababu za kiccm za kukuridhisha.

Vyombo vya dola navyo vinaendeshwa na wananchi; au hujui vyombo kama police na jeshi vinategemezwa na wananchi kama mimi na wewe!?

Tatizo ni kwamba hakuna chama imara upinzani na cha kuweza kushika dola hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kucheza huo upatu wa kuweka nchi rehani

Mungu ibariki Tanzania
 
m
Sasa Bashiru kuwa mwenyekiti wa chama ndio anguko lingine kwa hilo zoezi!?

Wengi wa wanasiasa wa vyama pinzani Tanzania hawana nia ya dhati ya kupeleka nchi kwenye maendeleo ya watu. Ndio maana upinzani unazidi kuwa dhaifu siku baada ya siku

Mungu ibariki Tanzania

Hicho chama kingeitwa Mazuzu Party ingependeza.
Chama cha mazuzu
 
Vyombo vya dola navyo vinaendeshwa na wananchi; au hujui vyombo kama police na jeshi vinategemezwa na wananchi kama mimi na wewe!?

Tatizo ni kwamba hakuna chama imara upinzani na cha kuweza kushika dola hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kucheza huo upatu wa kuweka nchi rehani

Mungu ibariki Tanzania
hoja za wanaccm ukizisikiliz hazina kichwa wala moguu
 
Vyombo vya dola navyo vinaendeshwa na wananchi; au hujui vyombo kama police na jeshi vinategemezwa na wananchi kama mimi na wewe!?

Tatizo ni kwamba hakuna chama imara upinzani na cha kuweza kushika dola hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kucheza huo upatu wa kuweka nchi rehani

Mungu ibariki Tanzania

Nchi iwekwe rehani ina lipi? Kama majizi ccm yameweza kuendesha hii nchi, chama gani kitashindwa?
 
Nyie wasukuma.hembu kubalini kwamba DUBWASHA LENU halipo.
Msitusumbie
 
Baada ya mbatia kusema waungane wakaunda haya ili kuudidimiza ule mshikamano limezaliwa kama lilivyo zaliwa li chama la zambarau tu
 
Mstakabari wa nchi hii hauwezi kuamliwa na kundi cha kiiwete.
Lazima wenye akili tutumie akili kuona tutakomboaje nchi hii
Kweli kwanza huyo Mkwere maisha yake yamekwisha usikute 2025 asifikishe maana ndiyo adui no 1 wa tz na hatima ya tz
 
Nonsense, ccm stratagem to hoodwink the world that there is democracy in the country they've spoilt with dictatorship.
 
I can guarantee you, CCM will continue to be the ruling party for the next 10 millenniums.
Even Magufuli was guaranteed to rule over 20 yrs by the same short sighted people!

What happened? History

Only fools can ignore the existence of power of God,nature and time which force the changes and the end of everything including CCM.
 
I can guarantee you, CCM will continue to be the ruling party for the next 10 millenniums.
Even Magufuli was guaranteed to rule over 20 yrs by the same short sighted people!

What happened? History

Only fools can ignore the existence of power of nature and time which force the changes and the end of everything including CCM.
 
Kitakuwa ni chama cha kibaazazi kisicho na nguvu, cuf na chadema vimemalizwa licha ya kuwa na nguvu kubwa sembuse ubaazazi huo unaoanzishwa
 
Even Magufuli was guaranteed to rule over 20 yrs by the same short sighted people!

What happened? History

Only fools can ignore the existence of power of God,nature and time which force the changes and the end of everything including CCM.

CCM is an institution that's why some of its founders are not alive but their ideologies still exist up to day stop comparing an institution with a person whose days on this world are numbered.
 
Back
Top Bottom