cotyledon
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 2,260
- 1,629
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini unataka katiba mpya?Wananchi hatutaki chama kipya,Tunataka katiba mpyaaaa
Mifumo ndo mibovu na kandamizi ila upinzani upo saaana tuSiasa za upinzani nchi hii bado sanaaaa
Mifumo ndo mibovu na kandamizi kwa upinzani ila vyama vipo safi tuTanzania inahitaji upinzani mpya kabisa wa kupingana au kushindana na CCM. Hao akina CHADEMA, ACT WAZALENDO, CUF, n.k. wameshapoteza credibility waliokuwa nayo. Hawana jipya.
Kitu cha kwanza kama taifa tunahitaji credible and reliable oppositions na Katiba mpya ndiyo itafuatia. Huwezi kupata "Katiba mpya" kama huna upinzani unaoaminika na wananchi.
Si kitakuwa NGO sasa Mkuu au haidhuru?[emoji23][emoji23]Naunga mkno kuanzisha hicho chama kitakachokijikita kutatua kero za wananchi kwa dhati, kupambana na rushwa kwa vitendo, kuunganisha umoja wa watanzania bila kujali rangi, itikadi, eneo analotoka, dini, kabila au jinsia.
Kusisitiza kujitegemea sio misaa na mikopo kutoka nje yenye lengo la kunufaisha wenye nguvu za kiuchumi na kulinda mamlaka ya nchi
Kusikiliza kero za wananchi, kutafuta suluhisho kwa kuzingatia mazingira na tamaduni za nchi
Kuboresha maono ya ujenzi wa nchi kupitia falsafa za Nyerere na Mwinyi ndio itazaa umoja halisi kwa maslahi ya wananchi
Kuwa tayari kuandaa utaratibu wa marekebisho ya katiba na sheria za utendaji ili kumpa haki na mamlaka halisi mwananchi pindi anapokosewa kwa kuvunjwa ahadi za kisera
Kuwa tayari kuandaa mpango wa kuabdili mfumo wa kipolisi uliorithiriwa kutoka kwa wakoloni ili uendane na matakwa ya nchi kuhusu ulinzi wa kweli wa mali na maisha ya watu
*Mimi ningependekeza kiwe kiitwe "Chama cha Umoja, Haki na Uzalendo Tanzania-CHAUHUTA"
CCM kwa sasa hakifai kabisa kupewa dhamana ya kitu chochote kile
Hahaaaaa kwa hiyo ni chama chetu wa kanda ile haya bwana tumekuelewaSKM PARTY
Childish Day dream,there's an end for everything...CCM was born,grown,it is now very old on the way to go the grave😁CCM is here to STAY.
Pumbavu kama mwendazake na Musiba + Sabaya.Demokrasia ya vyama vingi inazidi kushamiri Tanzania.
Angalizo, Kamwe wasikigeuze chama kuwa Genge la Kihalifu kama walivyo fanya viongozi wa Chadema.
Chama cha siasa lazima kiwe kweli chama cha kisiasa.
Utaweza tu mkuuNgoja nifikilie maumivu kipigo je nitaweza kuvumilia
Inshaalah
Kila zama na kitabu chake kwa nini tuongonzwe na katiba ya kaleKwa nini unataka katiba mpya?
Chama cha Makonda
Ndiyo wanachowezaTunataka katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi sio Chama kipya.
Yaani chifu hangaya na wenzake wanadhani hii ni kete ya kwenda kujitete huko mbele eti kuna demokrasia??
Ukiwa tayari utanipitia kwenye naniii tukakiwashe wote😬
Msema Kweli ChakubangaKama namuona Mwenyekiti wake
Usijali tuko nyuma yako tutaji organize watu wa kuandamana nitachukua baadhi ya vijana hapa Manzese we utakuwa ni kiongozi wetu tutakupitia mkuuUkiwa tayari utanipitia kwenye naniii tukakiwashe wote[emoji51]
Ok nitakupitia hapo tip topUsijali tuko nyuma yako tutaji organize watu wa kuandamana nitachukua baadhi ya vijana hapa Manzese we utakuwa ni kiongozi wetu tutakupitia mkuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app