Ukweli ni kwamba hatuma Washambuliaji ,ndio maana magoli yetu mengi yanafungwa na viungo halafu pia karibu wachezaji wetu wote ni wafupi na wana miili midogo
Hilo la umbo la wachezaji niliwahi kuligusia kuwa kwa miili hii yenye umbo la vibaka ,tutashinda lakini si kwa kuchukua kombe, na hao washambuliaji tulio nao hata pakiondolewa kipa basi kufunga itakuwa mbinde. Wana vigugumizi vya miguu.
kwani leo tunacheza na nani??
Wakuu ivi mech ya leo inaanza saa ngapi????,kama vp tujuzane kadiri mchezo unavyoendelea maana wengine twategemea hapa jamvini kupata mwenendo mzima wa hiyo mechi...Kila la kheri stars....be blessed
Mkuu Balantanda, kwa mujibu wa Gazeti la Mwananchi inaanza saa 4 usiku kwa saa za TZ.
babu, hiyo channel ni kwenye mtandao au?
Ingia RTS 1, ndio wanaonesha. Nimekosea nikaandika RST 1