Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,750
Ukweli ni kwamba hatuma Washambuliaji ,ndio maana magoli yetu mengi yanafungwa na viungo halafu pia karibu wachezaji wetu wote ni wafupi na wana miili midogo
Hilo la umbo la wachezaji niliwahi kuligusia kuwa kwa miili hii yenye umbo la vibaka ,tutashinda lakini si kwa kuchukua kombe, na hao washambuliaji tulio nao hata pakiondolewa kipa basi kufunga itakuwa mbinde. Wana vigugumizi vya miguu.