mbona nimejisajili harafu password hawatumi, how long it take kutumiwa password
au kuna kulipa?
mzee cheki email yako unatakiwa uipate immidiately hiyo password kisha gonga link iliyoko kwenye email yako. Kipindi cha pili ndo kinakaribia kuanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona nimejisajili harafu password hawatumi, how long it take kutumiwa password
au kuna kulipa?
mkuu sasa unaanza kuchafua jamvi......unasikia sebene uwanjani mkuu
N.B Invisible JF nakuwa siipati sijui kwanini au ndio zile attack....maana inakuwa ina search nusu saa haifunguki......internet bill nimelipa.....
kazidiwa dakika 15 za kwanza kacheza vema sana....heny joseph hapandishi mipira sana mbele kiungo kinazidiwa.....tunashinda hii game...Si unaona, huyo Nizar wako katolewa.....alikuwa anachemsha tu halafu wewe unamsifia ati kama Vierra!! Hakuna unalojua wewe..LOL
anayejua matokeo ya Senegal Vs Ivory Coast, manake haya yanaweza kutuharibia ama kutusaidia waTZ.
68' Zambia 0 - 0 Tanzania
67' Ivory Coast 0 - 0 Senegal
mbona nimejisajili harafu password hawatumi, how long it take kutumiwa password
au kuna kulipa?
Hivi kama hizi game za hili kundi zote zikiwa dede bilabila ndio itakuwaje?
Hivi kama hizi game za hili kundi zote zikiwa dede bilabila ndio itakuwaje?