Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Naona WiFi ni rahisi zaidi au huko ni tofauti?Na hizi gharama za mabando bro?
Utaona tv tu kwa mwezi imekula 500k 😂😂😂
Maana matumizi ya kawaida kwa kutumia router kwa siku natumia 10k sasa hiyo tv watoto washinde wanatazama catoons,mara movies utasikia 30k shwalalalaaaa