Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Naona WiFi ni rahisi zaidi au huko ni tofauti?Na hizi gharama za mabando bro?
Utaona tv tu kwa mwezi imekula 500k πππ
Maana matumizi ya kawaida kwa kutumia router kwa siku natumia 10k sasa hiyo tv watoto washinde wanatazama catoons,mara movies utasikia 30k shwalalalaaaa
Nunua Airtel 110k/month 30MBpsNa hizi gharama za mabando bro?
Utaona tv tu kwa mwezi imekula 500k πππ
Maana matumizi ya kawaida kwa kutumia router kwa siku natumia 10k sasa hiyo tv watoto washinde wanatazama catoons,mara movies utasikia 30k shwalalalaaaa
Na hapo ndipo utata ulipo, kila siku zina expire na yeye sie anayehost hizo TV kila siku ni kuhamishwa hapa unapelekwa kule, mara mia ukawalipe wale wazungu wenyewe kidodgo unakua na amani make mi nina uhakika kabisa mbongo yeye anaziotea tu zile za bure huko mtandaoni then anauza leo unapewa Link za Dstv mara kesho imekwisha unarudi Square one.tatizo hizi iptz link kila siku zina expire.utanisaidiaje kwa hilo?? mimi ninayo bundle unlimited tayari
Yaccine mbona siku hizi kama inagoma?Solution mi na amini ni hii tu, Movie ni Onstream na TV ni Yaccine basi.
Free of charge.
Nina siku siitumii ila wazee wa kuzurula mitandaoni huwezi kosa chaka la IPTV.Yaccine mbona siku hizi kama inagoma?
Nauza link tu!Sasa mkuu we unachouza ni link tu za hizo IPTV au sijaelewa vizuri, wakinga hizo link kama wanavyofanyaga itakuwaje.
Hizi ni kama unavyo nunua vifurushi vya king'amuzi kama ni mwezi mmoja au miwili n.ktatizo hizi iptz link kila siku zina expire.utanisaidiaje kwa hilo?? mimi ninayo bundle unlimited tayari
shukrani kaka sasa nimeelewa baada ya kutest hapa naenjoy...wewe huhusiki na kucreat iptv link wewe ni umewezesha kununua tu...Hizi ni kama unavyo nunua vifurushi vya king'amuzi kama ni mwezi mmoja au miwili n.k
Ndio haswa mie sitengezi iptv link mi ni resellerβ οΈshukrani kaka sasa nimeelewa baada ya kutest hapa naenjoy...wewe huhusiki na kucreat iptv link wewe ni umewezesha kununua tu...
Hapana mkuu, ipo sawa hakuna utapeli wowote inastream vizuri bila shida yoyote. Big up BurtonSat_ShopKuna mtu atalia muda si mrefu
Mkuu, unaitumia hii au unaitangaza tu?! Nimekuwa nikitafuta IPTV isio na magumashi lakini sijafanikiwa!!Binafsi nahusika na uuzaji wa Online TV (IPTV)
Katika SmartTv pia na Smartphone
Kifurushi cha mwezi ni Tsh.9,000/=
Hapo kuna
Live tv 23,000+
Movies 10,000+
Series 10,000+
Chaneli nyingi za ulaya,America,Africa n.k
Chaneli za DSTV 180+
Canal Afrique 150+
Azam tv 5 (azam 1&2 azam sport hd 1,2,3)
Movies ni nyingi saana latest
Ila kabla hujanunua natoa link ya Buree ambayo utaitumia kwa masaa 24 kuona hizo chaneli kama utalidhika nazo basi ndio tutafanya biashara,kwa Tsh.9,000/=
Mkuu, unaweza kunitajia moja wapo au zaidi ambazo ni reliable?! Nitacheki mwenyewe kama services zao zipo hadi Afrika!Nimeanza kuzitumia hizi siku nyingi sana. Siyo Bongo lakini kwani tatizo la Bongo ni Internet. 1. Unatakiwa uwe sehemu ambayo speed ni nzuri sana eg karibu kabisa ya mnara wa kampuni ya line ya simu unayotumia. 2. Bei ya bando. IPTV ukiwa majuu ndiyo mambo yote kwani unakuwa na speed kubwa ya Internet halafu ni unlimited, wewe hununui bando bali kunakuwa na flat rate ya mwezi.
BiaMkuu, unaitumia hii au unaitangaza tu?! Nimekuwa nikitafuta IPTV isio na magumashi lakini sijafanikiwa!!