Changamoto katika ujenzi: Mafundi uchwara wanavyoharibu kazi

Mkuu Mshana uko right kabisa umepita mulemule. Huyo fundi maiko kibokoooo.
 
Kujenga tunapenda ila unazika hela sana kama ni mfanya biashara usipokua makini unamaliza kujenga na biashara inachechemea unakuta let say ulikua unafanya biashara kkoo nyumba umepanga magomeni, umemaliza kujenga nyumba umeamia kibamba ndani ndani ofisi ipo palepale kkoo hapo ndio picha linapoanza.
 
Hili nalo neno inabidi sometime uwe unachanganua mambo vizuri
 

Duuuuuh huyo fundi ni wa kumpiga makofi tu.
 
Hasa kupandisha bei ya vitu hii ni changamoto kubwa sana
Nenda mwenyewe dukani.

Ngumu sana kuwakimbia hapo ,lazima akuingize kwenye 18 zake na ale cha juu ,ukienda kununua kwenye duka unaotaka wewe let say ukakuta bei labda elfu 15 atakwambia twende duka la mbele wanauza 14 ,ukienda tu kwenye hilo duka utakuta bei 14 na utanunua kwa kuona kuna unafuu wa buku ,kumbe hapo yeye ana jero lake hapo.
 
Kabisa mkuu udalali lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…