Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikupeleka maduka ya buza wewe nenda ya Mbagala😂Ngumu sana kuwakimbia hapo ,lazima akuingize kwenye 18 zake na ale cha juu ,ukienda kununua kwenye duka unaotaka wewe let say ukakuta bei labda elfu 15 atakwambia twende duka la mbele wanauza 14 ,ukienda tu kwenye hilo duka utakuta bei 14 na utanunua kwa kuona kuna unafuu wa buku ,kumbe hapo yeye ana jero lake hapo.
Ujenz hautaki kujua abc ndugu hyo ni prof utaharibu uhai wa mtuAnayehitaji nyumba yake kusimamiwa ujenzi nipo hapa jamani sina kazi ila abc za ujenzi ninazo
Ujenzi mbona rahi ukishajua ft na metre ulishajua kila kitu.Ujenz hautaki kujua abc ndugu hyo ni prof utaharibu uhai wa mtu
Kupaua patamu sana maana uwe na mbaonna bati kwa wakati mmoja.Kusimamisha boma wala sio gharama sana kama kupaua na finishing zingine hasa ndani noma sana
Unatakiwa uwe na fundi mmoja mwaminifu sana
Mimi nilimtumia bro mmoja fundi wa siku nyingi sana umri umeenda now yeye anachukua kazi then anasupervise vijana wanapiga kazi , hakika sikujutia kabisa
Hapo ndiyo dawa yao vinginevyo lazima wapige cha juu.Akikupeleka maduka ya buza wewe nenda ya Mbagala😂
Wewe ndugu kwanini kila mada lazima uilete kwenye "KUGEGEDANA" hata kama haihusiani na hilo jambo....??Usiache boma kwa muda mrefu...linakuwa guest ya wagegedaji
Nisemalo lina ukweli 100% lakiniWewe ndugu kwanini kila mada lazima uilete kwenye "KUGEGEDANA" hata kama haihusiani na hilo jambo....??View attachment 3235956
DUH!!Nisemalo lina ukweli 100% lakini
Sasa msosi ukishakula raha yake umkule na mpishi 😜DUH!!
Hata kama ni kweli lakini umezidisha bhana.....hata kwenye mada za misosi lazima uzilete kwenye "MBUNYE".......View attachment 3235958