bulajunior
JF-Expert Member
- Oct 14, 2024
- 302
- 434
Habari za leo wakuu,
Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.
Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!
Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.
Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!
Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo