Changamoto nazopitia kwenye ndoa

Changamoto nazopitia kwenye ndoa

Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
wakat wa uchumba ilikuaje?
 
Nashangaa mtu akisema eti siwezi au sitaki kumuacha kwa sababu ya mtoto kwahiyo ukipata ajali leo ukafa mtoto unaenda nae kaburini? Mtoto ataishi na atakuwa tu.
Piga chini lala mbele endelea na maisha yako.
 
Mwanaume unalalamika? Fanya uamuzi, piga chini haraka sana huyo mwanamke, kulea mtoto sio sbb ya wewe kuendelea kuishi nae kama huna upendo na huyo mwanamke, piga chini wanaume ni watu wa maamuzi haraka sana, piga chiniiii alafu vuta K mpya alafu tulia kula maisha, acha kuwa laini laini.
 
Mpe likizo akasalimie nyumbani, angalau akakae miezi 2 kwanza.
mtoto wangu anasoma hawezi kwenda nae afu pia hata dogo hamkubali mother wake maana uwa anamchokoza dogo analia na kuna wkt dogo anapigwa kwa hasira ya kumkubusha mama yake km kuna jambo nilimwambia mama afanye dogo anakumbuka Sana hata vyakula akimpa tofauti anasema baba alisema unipe chakula fulani basi anapigwa hii nilishudia mwnyw Niko bafuni hakuniona wakati nafika
 
mtoto wangu anasoma hawezi kwenda nae afu pia hata dogo hamkubali mother wake maana uwa anamchokoza dogo analia na kuna wkt dogo anapigwa kwa hasira ya kumkubusha mama yake km kuna jambo nilimwambia mama afanye dogo anakumbuka Sana hata vyakula akimpa tofauti anasema baba alisema unipe chakula fulani basi anapigwa hii nilishudia mwnyw Niko bafuni hakuniona wakati nafika
Mpaka hapa wewe ndio mwenye tatizo mkuu, wewe unamuagizaje mama mtu ampe mtoto chakula gani? ina maana mama hajui chakula cha mwanae?

unasema mtoto hampendi mama yake, inawezekanaje hii na wewe haukai na huyo mtoto kwa asimilia zote kutokana na mihangaiko ya maisha? mtoto mdogo anawezaje kumchukia mama yake?
 
Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Enzi zile mnajificha kwenye mageto hadi anatoroka nyumbani mambo yalikuwaje?
 
IMG_5457.jpeg
 
Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Wewe ni kama mimi
 
achaneni kwa wema mtoto asikufanye uishi ukijutia maisha yako yote, vinginevyo kwa kuendelea kuishi naye kwa sababu ya mapenzi kwa mtoto itakuwa ni sawa na kukalia makaa yenye moto.
 
Back
Top Bottom