Changamoto nazopitia kwenye ndoa

Changamoto nazopitia kwenye ndoa

Mpaka hapa wewe ndio mwenye tatizo mkuu, wewe unamuagizaje mama mtu ampe mtoto chakula gani? ina maana mama hajui chakula cha mwanae?

unasema mtoto hampendi mama yake, inawezekanaje hii na wewe haukai na huyo mtoto kwa asimilia zote kutokana na mihangaiko ya maisha? mtoto mdogo anawezaje kumchukia mama yake?
Hata me nimeliona hili,yeye ndoanaonekana kuwa chanzo
 
Wewe sema huna ubavu wa kumuacha usisingizie mtoto. Na usipoangalia mwaka ujao mtakaribisha kababy kengine
 
Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Ulizaliwa na ndoa mkuu 🤣🤣
 
kaka kwenye kipengele cha mtoto sio rahisi kukaa nae mbali nampenda sana kijana wangu nayeye ananikubali kinoma nisipokuwepo dogo Hana utulivu hata mimi sikaagi poa kabisa bila kumwona dogo
Ana miezi au miaka mingapi?
 
Nashangaa mtu akisema eti siwezi au sitaki kumuacha kwa sababu ya mtoto kwahiyo ukipata ajali leo ukafa mtoto unaenda nae kaburini? Mtoto ataishi na atakuwa tu.
Piga chini lala mbele endelea na maisha yako.
Acha ujinga basi, sa si mpaka apate hiyo ajali sasa hajapata ndio kusema asimpende mwanae kisa tu akipata ajali hatakuwa nae? Eboh
 
mtoto wangu anasoma hawezi kwenda nae afu pia hata dogo hamkubali mother wake maana uwa anamchokoza dogo analia na kuna wkt dogo anapigwa kwa hasira ya kumkubusha mama yake km kuna jambo nilimwambia mama afanye dogo anakumbuka Sana hata vyakula akimpa tofauti anasema baba alisema unipe chakula fulani basi anapigwa hii nilishudia mwnyw Niko bafuni hakuniona wakati nafika
Mtoto ni wa mama siku zote, kama mkeo hakupi furaha unayoitaka mwenye maamuzi ni wewe, kama inawezekana mjulishe una mpango wa kuachana naye.
 
kaka kwenye kipengele cha mtoto sio rahisi kukaa nae mbali nampenda sana kijana wangu nayeye ananikubali kinoma nisipokuwepo dogo Hana utulivu hata mimi sikaagi poa kabisa bila kumwona dogo
Hapo lazima upoteze kimoja ili kupata kimoja.
Either uvumilie mauzi ya mkeo upate magonjwa ya moyo au shida ya afya ya akili kwa ajili ya mtoto ambae ni wko akiwa Bado mdogo wakishakuwa mama ndie atakaepewa kipaumbele.
Au uokoe afya yko kwa kuwa na amani kwa kukaa mbali na huyo mwanamke but mtoto atakosa upendo wako.
Kumbuka wanawake wengine ni maajent wa kuchukua uhai wako.
Uamuzi ni wako
 
Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
hiyo ndoa mlifungia wapi?
 
Kaka yangu, inaonekana umefika mwisho wa uvumilivu katika uhusiano huu, na ni jambo la kawaida kuhisi kuchoka ikiwa huelewani na mwenza wako.

Kitu cha kwanza ni kujiuliza, unataka nini hasa? Kama huna tena hisia wala upendo kwake, ni bora kuzungumza naye kwa uwazi na kwa heshima. Usikubali kuendelea kuishi kwenye hali inayokuchosha kihisia, lakini pia usifanye maamuzi kwa hasira.

Kuhusu mtoto wako, ni vizuri kwamba bado unampenda na unataka kuwa sehemu ya maisha yake. Hii ni muhimu, maana haijalishi uhusiano wako na mama yake ukoje, mtoto bado anahitaji uwepo wako.

Pia, jaribu kuelewa kwanini mwenza wako anafanya mambo yanayokuvunja moyo. Inawezekana ni mawasiliano mabaya au mnavutana kwa sababu ya tofauti zenu. Ikiwa kuna nafasi ya kuzungumza kwa utulivu na kuelewana, basi jaribu. Lakini kama umefika mwisho kabisa na unahisi hakuna suluhisho, basi tafuta njia ya kutoka kwenye uhusiano huu kwa amani na heshima, hasa kwa ajili ya mtoto wenu.

Usifanye maamuzi kwa hasira, tafakari vizuri. Pia, usiruhusu hali hii ikufanye uchukie au upoteze heshima kwa mzazi mwenzako. Chochote utakachofanya, hakikisha kinakuwa na faida kwa mtot
o wako.
 
Habari za leo wakuu,

Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.

Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!

Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Hehehe
 
Back
Top Bottom