Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
Hata me nimeliona hili,yeye ndoanaonekana kuwa chanzoMpaka hapa wewe ndio mwenye tatizo mkuu, wewe unamuagizaje mama mtu ampe mtoto chakula gani? ina maana mama hajui chakula cha mwanae?
unasema mtoto hampendi mama yake, inawezekanaje hii na wewe haukai na huyo mtoto kwa asimilia zote kutokana na mihangaiko ya maisha? mtoto mdogo anawezaje kumchukia mama yake?
Ulizaliwa na ndoa mkuu 🤣🤣Habari za leo wakuu,
Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.
Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!
Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Tunateketea huku na jua kaliachaneni kwa wema mtoto asikufanye uishi ukijutia maisha yako yote, vinginevyo kwa kuendelea kuishi naye kwa sababu ya mapenzi kwa mtoto itakuwa ni sawa na kukalia makaa yenye moto.
Hamueleweki mnataka nn au tuwape roho zetu nnWewe sema huna ubavu wa kumuacha usisingizie mtoto. Na usipoangalia mwaka ujao mtakaribisha kababy kengine
Kwani nyie mnataka nini?Hamueleweki mnataka nn au tuwape roho zetu nn
Ana miezi au miaka mingapi?kaka kwenye kipengele cha mtoto sio rahisi kukaa nae mbali nampenda sana kijana wangu nayeye ananikubali kinoma nisipokuwepo dogo Hana utulivu hata mimi sikaagi poa kabisa bila kumwona dogo
Wasabato wengi wana kaujeuri flani.huyu yupo ivi toka muda Mkuu hasemi samahani utamuua afu eti msabato ikimwona kanisani mnyenyekevu hatari jamani muongo huyu madam htr
Acha ujinga basi, sa si mpaka apate hiyo ajali sasa hajapata ndio kusema asimpende mwanae kisa tu akipata ajali hatakuwa nae? EbohNashangaa mtu akisema eti siwezi au sitaki kumuacha kwa sababu ya mtoto kwahiyo ukipata ajali leo ukafa mtoto unaenda nae kaburini? Mtoto ataishi na atakuwa tu.
Piga chini lala mbele endelea na maisha yako.
Mtoto ni wa mama siku zote, kama mkeo hakupi furaha unayoitaka mwenye maamuzi ni wewe, kama inawezekana mjulishe una mpango wa kuachana naye.mtoto wangu anasoma hawezi kwenda nae afu pia hata dogo hamkubali mother wake maana uwa anamchokoza dogo analia na kuna wkt dogo anapigwa kwa hasira ya kumkubusha mama yake km kuna jambo nilimwambia mama afanye dogo anakumbuka Sana hata vyakula akimpa tofauti anasema baba alisema unipe chakula fulani basi anapigwa hii nilishudia mwnyw Niko bafuni hakuniona wakati nafika
Hapo lazima upoteze kimoja ili kupata kimoja.kaka kwenye kipengele cha mtoto sio rahisi kukaa nae mbali nampenda sana kijana wangu nayeye ananikubali kinoma nisipokuwepo dogo Hana utulivu hata mimi sikaagi poa kabisa bila kumwona dogo
Mambo ya kawaida hayo.Dipresheni je?
Pigia msitar hapaMpe likizo akasalimie nyumbani, angalau akakae miezi 2 kwanza.
Huo ndiyo ukweliTafuta Mwanamke wako, huyo sio wa kwako.
Kuhusu mtoto atakuwa tu.
hiyo ndoa mlifungia wapi?Habari za leo wakuu,
Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.
Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!
Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
HatarHuo ndiyo ukweli
Huyo sio mke wake
HeheheHabari za leo wakuu,
Nianze kwa kusema hivi wanawake wasilaumu kwanini1 wanaachiwa watoto, wanatengeneza mazingira hayo wao wenyewe.
Mimi umebaki tu upendo kwa mtoto wangu wa nampenda sana bila hivo nilikuwa naachana na huyu mtu kwanza hasikii hajui mume wake nataka nini ktk maisha yangu japo yote haya nilishamwambia hadi nikachoka na akikosea hajui kusema samahani! anakaa kimya tu na akiongea anaropoka kuzidi kukupa hasira zaidi anapenda kuwaaminisha watu kuwa mimi mkorofi namwonea!
Kifupi wakuu nimechoka sina upendo nae hata robo
Akaliwe vizuri na wahunMpe likizo akasalimie nyumbani, angalau akakae miezi 2 kwanza.