Changamoto nyingine kwa wazoefu na wataalamu kuhusu Binti yangu

Changamoto nyingine kwa wazoefu na wataalamu kuhusu Binti yangu

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Binti yangu ana mwaka na miezi takribani miwili sasa yupo kakaa tu HATAMBAI... Ukimlaza atajigeuza geuza tu... Na hata ukimkaliza kwenye kochi anaweza kushuka na kuishia kusimamia tu miguu kwenye kochi... Anasimamia tu watu au vitu ila hatambai ukimlaza chini au ukimkaliza.

Changamoto nyingine... Ni anajisaga meno anajitafuta hasa akiwa macho... Mpaka namuonea huruma taya zake.

Kulikoni hapa wazoefu?
 
Baada ya kuyaona hayo umeshajaribu kumuona specialist wa mama watoto kwa ajili ya uchunguzi Wa kina?!
 
Baada ya kuyaona hayo umeshajaribu kumuona specialist wa mama watoto kwa ajili ya uchunguzi Wa kina?!

I mean specialist wa watoto umeshajaribu kumpeleka maana hiyo hali kwako unaiona sio ya kawaida na hujampeleka mtoto wako mpaka sasa huoni kama humtendei haki jaman
 
Angilia history za koo zenu lakn kuhus kutambaa sio inshu kam atawez kuendelea kukaa kutembea atarud kutambaa na atakuwa sawa tuu, usisahau kumfanyisha mazoezi.
 
Back
Top Bottom