Changamoto tunazokutana nazo tunaotongoza wanawake mitandaoni, jamani wanawake hawajiamini kabisa.

Tupo likizo tunafungua jumatatu.

Baba naye anasema hana pesa ya matumizi nitachelewa chelewa kusubiri pesa. Au unayo unihonge?
Nipatie akaunti namba nikujaze mahela
 
Kho kho kho kho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Vikojoleo mnavitesa wenyewe kwa kuvikutanisha na watu moyo haujapenda.
Wakati usingeharakisha hata vikojoleo visingekua na haraka ya kujuana
Sio vizuri hata.... Tunakomoana wenyewe kwa wenyewe. Vikojoleo ndivyo vinabaki kuumia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Vikojoleo mnavitesa wenyewe kwa kuvikutanisha na watu moyo haujapenda.
Wakati usingeharakisha hata vikojoleo visingekua na haraka ya kujuana
Ila mmepoa humu JF bhana...hadi tunabadilisha vijiwe.

Au kuzeeka kumeanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…